Mrejesho wa kutafuta mchumba

Mrejesho wa kutafuta mchumba

Yawezekana sikua serious kwenda makwao ni kuwapima tuu lkn reaction zao zina walakini unajua kabisa something fishy mkuu kuwa mpembuzi
Nimekujibu kama kijana na mwanaume. Unavyosema hukua serious hiyo sasa ni mada nyingine
 
ukiweka tangazo humu asilimia kubwa watakao kufuata ni wanaume ambao wameshaoa ila tamaa tu

me nafikir kijana alie serious hawezi kutamfuta mke dizain hii labda incase ikatokea kuna jambo fulan mmesaidiana huko pm mkazoeana hao atleast wanaweza kua na mahusiano serious..otherwise my dear muombe tu Mungu akuonyeshe ikiwa mtaani au humu kwa namna yoyote ile.njia za Mungu ni za ajabu
Salamu, Inna.

Pendo ni kama mti usio na kinyongo. Popote hujiotea, katu halichagui pa kuotea. Huwezi, siwezi kujua. Pengine humu ndimo kulimo mlango wa ubavu wake.

Hongera ndugu, ngoja nifanye bidii niwe na utamaduni wa kukufuatilia kwa nyuma. Huenda nikaokota mnofu. Si unajua mbwa mtembea bure si sawa na mbwa mkaa bure?.

Maneno yako mara nyingi ni mazima.
 
Salamu, Inna.

Pendo ni kama mti usio na kinyongo. Popote hujiotea, katu halichagui pa kuotea. Huwezi, siwezi kujua. Pengine humu ndimo kulimo mlango wa ubavu wake.

Hongera ndugu, ngoja nifanye bidii niwe na utamaduni wa kukufuatilia kwa nyuma. Huenda nikaokota mnofu. Si unajua mbwa mtembea bure si sawa na mbwa mkaa bure?.

Maneno yako mara nyingi ni mazima.
hahahahaa ...salamu kwako pia

nakufuatilia pia kwa ukaribu zaidiiii
 
ukiweka tangazo humu asilimia kubwa watakao kufuata ni wanaume ambao wameshaoa ila tamaa tu

me nafikir kijana alie serious hawezi kutamfuta mke dizain hii labda incase ikatokea kuna jambo fulan mmesaidiana huko pm mkazoeana hao atleast wanaweza kua na mahusiano serious..otherwise my dear muombe tu Mungu akuonyeshe ikiwa mtaani au humu kwa namna yoyote ile.njia za Mungu ni za ajabu
Ndo maana nasitasita kupga hod
 
Ni upuuzi kuweka jambo serious humu kwa nia ya kufanya upuuzi. Hakukuwa na haja ya kuleta kilichojiri huko kwakuwa ilipaswa kuwa siri yako. Hebu acheni huu upuuzi mara moja, mnadhalilishana bila ya sababu. Kumbe mnaanzisha mada ili mpate mada? Bure kabisa!
Zama pm ukajiopolee mke bwana
 
Back
Top Bottom