Mrejesho wa kutafuta mchumba JF

Mrejesho wa kutafuta mchumba JF

Ahaaaaa pole sana mkuu

Umenikumbusha jana kuna demu nimemtokea leo kaniomba elf kumi aisee nimemushangaa sana kwa kweli

Nilimwambia jibu moja tu dada punguza njaa na niondolee njaa zako hapa then futa namba yangu mpuuz mkubwa wewe

Nywana gete
Kipindi cha magu njaa iko juu sana kwakweli,sijui shida ni nini.
 
Pole sana...
Inasikitisha sana kama hizo taatifa ni za kweli...

Asiyekujua, wala hajawahi kukuona hawezi kuwa na huruma na wewe...


Cc: mahondaw
 
Watu kwa vizinga hawajambo...unachat nae anaanza assist na kuwa yatima
 
Pole sana...
Inasikitisha sana kama hizo taatifa ni za kweli...

Asiyekujua, wala hajawahi kukuona hawezi kuwa na huruma na wewe...


Cc: mahondaw
Taarifa hizi ni kweli tupu. Kuna uzi unaoongelea mambo ya "Badoo" humu, utafute uone madanguro ya mtandaoni. Ile MMU kitengo cha love connect ni "mini danguro". Kuna wanaojiuza kwa kisingizio cha kutafuta wachumba. JF is more than you have ever imagined!
 
Taarifa hizi ni kweli tupu. Kuna uzi unaoongelea mambo ya "Badoo" humu, utafute uone madanguro ya mtandaoni. Ile MMU kitengo cha love connect ni "mini danguro". Kuna wanaojiuza kwa kisingizio cha kutafuta wachumba. JF is more than you have ever imagined!
Ndio maana inaitwa great thinker
 
Dah..kuna wanawake wezi na wafanyabiashara wa mapenzi ...eti mama anaumwa nitumie hela hapo baada ya kuchat nimecheka ..pole mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: lup
Macho ya kiroho yananiambia kuna watu wanaitafuta sana hiyo namba bila mafanikio
Duh nilifanya dhambi jana sijui mwenye nayo huko alipo ngoja nijaribu kuipiga nione km itaita
 
  • Thanks
Reactions: lup
Mizinga muhimu,

kipimo mnachotumia kuona kama sisi ni wachunaji,ndicho hicho hicho tunachotumia kuwapima kama mmekomaa na mpo tayari kuchukua majukumu ya familia,siku zote baba ndio anahudumia familia sio mama 😎😎😀
Why are you trying to be a genius????
 
Back
Top Bottom