Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 24,013
- 42,265
Ni kweli shemu kwa kifupi kuna wadada hawajielewi kabisaTrue si kwa mishoboko hiyo shem
Ni kweli shemu kwa kifupi kuna wadada hawajielewi kabisaTrue si kwa mishoboko hiyo shem
Nilikuwa naigilizia hiyo sentensi ya kwny mada yake mi sina upashkuna huo mkuuKapeace buku 5 tuu..kamua zaidi![]()
![]()
Namba yenyewe mfatano sio ya kweli iv naweza weka no yangu ya simu hadharani namna hiyo wewe!!!! Mwenye no yangu humu ni mtu mmoja tu nae ni kwasababu nafahamiana nae kitamboAhaaa naona shem wangu umeamua
Mtu asiejulikanaNiambie jina linakuja Nani?
Nilikuwa naigilizia hiyo sentensi ya kwny mada yake mi sina upashkuna huo mkuu
wajulikana kapeace wa jf aka mtoto wa bei ghali
Kujiendekeza tu wanapita kimya kimya saa Hii huku wanasonya tu mnisamehe bure wapendwa ila mtulie dawa iwaingieNi kweli shemu kwa kifupi kuna wadada hawajielewi kabisa
Nipe na mimi niwe wa pili et shemu wanguNamba yenyewe mfatano sio ya kweli iv naweza weka no yangu ya simu hadharani namna hiyo wewe!!!! Mwenye no yangu humu ni mtu mmoja tu nae ni kwasababu nafahamiana nae kitambo
Hii namba itakua bize sana leo,labda isiwe inapatikana.Ni 0712345678
Janaa kuna dem nimemtokea leo kaniomba elf kumi aisee nimempa ya moyon nazan hatanisahauKujiendekeza tu wanapita kimya kimya saa Hii huku wanasonya tu mnisamehe bure wapendwa ila mtulie dawa iwaingie
Kwenye ghali simo wa bei chee sikuja jeiefu kutafuta wachumba ha ha ha haloooooo![]()
![]()
![]()
![]()
wajulikana kapeace wa jf aka mtoto wa bei ghali
![]()
Mkeo anayoNipe na mimi niwe wa pili et shemu wangu
Namba ya kubuni we huoni moja mbili tatu NNE tano sita na kuendeleaHii namba itakua bize sana leo,labda isiwe inapatikana.
Miss youKila la kheri
Umefanya vizuri msema kweli ni mpenzi wa MunguJanaa kuna dem nimemtokea leo kaniomba elf kumi aisee nimempa ya moyon nazan hatanisahau
Ongea pole pole atasikia si unamujua ataniachaMkeo anayo
Unanifundisha tabia mbaya eti??? Omba kwa VladOngea pole pole atasikia si unamujua ataniacha
Nitumie pm bas nitaikuta et