Mario Gomez
JF-Expert Member
- Nov 1, 2011
- 821
- 588
Duh kama mambo yenyewe ndiyo haya basi ni hataree!!
Mimi yan nikiona reply zako nafanya imagination tuu,u smartHumu kuna madanguro basi kwa maelezo hayo,
Nitoe buku tano basi ya fasta
Ulishakutana na wa hivi?Kuna wanaume pia matapeli humu, wanatangaza kutafuta mchumba kumbe nia yake ni kuwapanga tu wadada foleni kwa hiyo usishangae kukutana na wadada wa style hzo PM..Goodluck
Mie sio tapeli warah tena kama huamini njooKuna wanaume pia matapeli humu, wanatangaza kutafuta mchumba kumbe nia yake ni kuwapanga tu wadada foleni kwa hiyo usishangae kukutana na wadada wa style hzo PM..Goodluck
Asante mkuuMimi yan nikiona reply zako nafanya imagination tuu,u smart
Sheria zinaruhusu kama utathibitisha utapeli wake.Hata wanaume wapo matapeli humu, kuna mmoja kwa style anayotumia nadhani kaliza wadada wengi sana.
Ni sheria tu za humu haziruhusu lkn natamani nimuweke wazi kwa utapeli anaofanya