PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,104
- 1,924
Naishukuru jf kwa kunifanikishia vijana wangu wawili,walimu wa chekechea niliowatafutia kazi hapa hapa,vijana hawa nimewafundisha mimi,na bado kuna wengine wanahitaji,tunaendelea kuwaandaa vijana kwa ili waingie kwenye soko la ajira,Tupo Arusha,kwa mahitaji zaidi,wasiliana nasi kupitia email,manyilezu91@gmail.Com,walimu hawa ni bachalor holders
