mariamibrahim
Senior Member
- Jul 8, 2017
- 100
- 183
ahsanteMungu muumbaji kwa kweli
ahsanteMungu muumbaji kwa kweli
Naja huko pm nipokee bila hiyana nataka kueleza shida zangu!!ahsante
But take care, these jf men wengi waongo am writing from experienceHabari zenu wapendwa wa MMU,
Leo nimeona nijitokeze kwenu tena ila leo ni kwa ajili ya kuwaelezea furaha yangu na kuwapa moyo wale ambao bado wanaendelea kutafuta wenza na bado hawajawapata nawaambia watawapata wakati utakapofika.
Mimi nashukuru Mungu nimeshampata wa kwangu hapa hapa MMU maisha yanaendelea sasa ahsanteni sana wanajukwaa tuendelee kushirikiana tupeane moyo na kushauriana zaidi na zaidi.
Ahsanteni
Ohoooooo!! Hebu elezea zaidi.But take care, these jf men wengi waongo am writing from experience
Sent using Jamii Forums mobile app
usithubutu.Naja huko pm nipokee bila hiyana nataka kueleza shida zangu!!
Kuna mwanaume humu nilimpata 2014 nikajua hapa sasa nimepata mtu wa ukweli niliekuwa namhitaji alichokuja kunifanyia mwaka huu ni Mungu tu ndo anajua.Ohoooooo!! Hebu elezea zaidi.
Habali mkuuOhoooooo!! Hebu elezea zaidi.
Duuuuh!! Pole sana mama.Kuna mwanaume humu nilimpata 2014 nikajua hapa sasa nimepata mtu wa ukweli niliekuwa namhitaji alichokuja kunifanyia mwaka huu ni Mungu tu ndo anajua.
Whenever you are you man God will pay you back for wasting my time
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya.Habali mkuu
Ila hizi lipsi zimekaa kichokozi sana
Pole sana bibie ndo mzunguko wa maisha huo wala usichukie ukajipa doa sahau hilo angalia mengine tena bila kufananisha mabaya na mazuri yote yanatuhusu sisi wanadam.Kuna mwanaume humu nilimpata 2014 nikajua hapa sasa nimepata mtu wa ukweli niliekuwa namhitaji alichokuja kunifanyia mwaka huu ni Mungu tu ndo anajua.
Whenever you are you man God will pay you back for wasting my time
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hii kauli hii kwani wa humu wapoje na wengine wapoje?Duuuuh!! Pole sana mama.
Naona mrejesho ni bora uje mkiwa tayari wanandoa maana anything can happen.
Ila wanaume wa humu mbona wanalalamikiwa sana!! Something is wrong aisee!!
Uh!! Mnajijua bwana.Halafu hii kauli hii kwani wa humu wapoje na wengine wapoje?
Lakini uovu haufanywi na wa humu tuu uovu upo popote msitishe watu kama vile wa humu wamewekewa uzio yani tabia mbovu tu hapana ni bahati tu ya mtu yani kama ilivyo mtaani chochote hutokea.Uh!! Mnajijua bwana.
Hapa umeongea mkuu kwani wa jf hawaendagi sehemu nyingine wanaishi jf?Lakini uovu haufanywi na wa humu tuu uovu upo popote msitishe watu kama vile wa humu wamewekewa uzio yani tabia mbovu tu hapana ni bahati tu ya mtu yani kama ilivyo mtaani chochote hutokea.
acha roho mbayaTumeisha waona wengi wakirudi na mabandiko hapa. we will be waiting. uzuri hapa watu wanatunza data ile mbaya