Kama leo hii utapewa nafasi ya upendeleo ya kupendekeza mambao ambayo unaona yawe dhambi au mema, ni mambo gani ambayo kwa sasa unayaona kama ni dhambi ambayo ungependekeza yaruhusiwe (kutenda/kusemwa) au ni mambo gani ambayo kwa sasa yameruhusiwa ungependekeza yawe dhambi? be serious