montanakamumbayi
Member
- Apr 21, 2015
- 11
- 21
Wakuu habari za ujenzi Wa taifa
Mtakumbuka 2 weeks ago nilikuja kuwaomba Ushauri baada ya kugongana uso kwa uso na mke Wa Rafiki yangu guest akitoka room na zee moja hivi huku na mm nikiwa na mchepuko ambao yy hakuuona .
Hivyo akaniomba nimfichie siri bado anaipenda ndoa yake
Rejea post hiyo kwa Maelezo zaidi.
Mazungumzo
Alikua amependekeza tumalizane kiutu uzima ili nikae kimya forever, nilimuita sehemu iliyotulia kwa mazungumzo nikamwambia nimekusamehe sitatembea na wewe na pia sitamwambia mumeo
Kwa sharti la kuacha tabia hiyo
Akakiri na kujutia tabia hiyo na kuahidi kuiacha kabisa
Kwa kweli alifurahi sana akanishukuru kupita Maelezo
Ila bahati mbaya laki tano yake niliila
Pia nimemsisitiza sana mumewe kwa simu afanye awezavyo atafute kazi nyingine hapa dar kama uhamisho ukishindikana
Kuhusu mchepuko wangu
Mlinishauri mm pia niache uzinzi niachane na huo mchepuko wangu Wa arusha ambao nilikua nao siku tumegongana na shemeji guest
Ushauri huu umenishinda kwa kweli maana mchepuko huu ni asset kubwa kwangu
Mke nilie nae ni mama Wa nyumbani ambae nililetewa na wazazi kutoka nyumbani nikawatii wazazi na kumuoa
Mchepuko wangu nilisoma nao chuo na tulikua na ndoto za kuoana bahati mbaya destiny haikutaka hivyo ndipo yakatokea hayo ya baba kuniletea mke
Huu mchepuko unanipenda sana ukasema hata kama mm naoa tuendeleze tu uhusiano wetu, basi nikawa nimeoa,
Bahati mbaya mchepuko ulienda nje ya nchi kwa masters program na ulikaa huko karibu miaka 5 na ndipo ukarudi hapa na kupata kazi arusha
Kiuchumi
Kutokana na gharama za maisha kupanda na familia yangu kupanuka mchepuko huu umekua Msaada mkubwa kwangu
Hii ni kutokana na ukweli kuwa nimekopa mikopo mingi kazini na hivyo napokea mshahara kidogo sana uliobaki
Mchanganuo Wa makato au marejesho upo hivi:-
(1)salaried workers loan=250,000
(2)Credit union loan=
250,000
(3)departmental loan=250
(4)blue financial services=250
Total=1,000,000/=
Salary. Loans. Difference 1,500,000-1,000,000=500,000
Baada ya makato ya mikopo yote inabaki laki tano tu
Kiasi hiki ni kidogo mno kwa mahitaji ya familia yangu ambayo ni extended, wife ni Msukuma hivyo ana ndugu nane ninaokaa nao kwangu maana Wali ukipikwa ni kilo 3 kila siku
Kila ninapofanya jaribio la kuwaondoa ndugu hao wife hununa wiki mbili na hulala na suruali tatu za jeans, na skin tight na kufuli hivyo mm husalim amri na kuacha kuwaondoa
Hivyo Nina majukum mazito sana na mikopo yote imeshafanya maendeleo ikiwemo ujenzi
Kwa hali hiyo mchepuko wangu unakua na maana kubwa sana kusaidia gurudum pale ninapokwama
Mathalan January sikua na ada za watoto hata senti tano na kazini sikopesheki tena
Mchepuko wangu ulinisaidia kulipa ada ya watoto wote watatu ya shs 4,200,000
Kwa ahadi ya kuzirudisha ingawa sijarudisha hadi sasa
Mchepuko huu umeshiriki shughuli nyingi za kifamilia I.e harusi na misiba kwa hali na Mali kwa kuchangia pesa nyingi tu ingawa wife huwa anakutana nao katika hizo shughuli bila kuufahamu
Nikimpigia simu kuna jambo lolote lile yy huondoka fasta arusha na kufika haraka
Dar
Hivyo wakuu Nina upenda sana mchepuko huu ambao umenizalia mtoto mmoja kwa sasa na hauna mpango Wa kuolewa na mtu mwingine
Mlinishauri niuache mchepuko lakin nadhan hiyo ni suicide mission kwangu
Ndo maana huwa naupenda uislam kwenye hili la wake wengi basi tu kwa kuwa mm ni mkristo sina jinsi ngoja niende wote wawili ilimradi tu wife asifaham
Huenda kama kuna mtu ana idea nifanyeje au yeyote mwenye mchepuko Wa namna hii anidaidie alifanyaje akaachana nao
Mtakumbuka 2 weeks ago nilikuja kuwaomba Ushauri baada ya kugongana uso kwa uso na mke Wa Rafiki yangu guest akitoka room na zee moja hivi huku na mm nikiwa na mchepuko ambao yy hakuuona .
Hivyo akaniomba nimfichie siri bado anaipenda ndoa yake
Rejea post hiyo kwa Maelezo zaidi.
Mazungumzo
Alikua amependekeza tumalizane kiutu uzima ili nikae kimya forever, nilimuita sehemu iliyotulia kwa mazungumzo nikamwambia nimekusamehe sitatembea na wewe na pia sitamwambia mumeo
Kwa sharti la kuacha tabia hiyo
Akakiri na kujutia tabia hiyo na kuahidi kuiacha kabisa
Kwa kweli alifurahi sana akanishukuru kupita Maelezo
Ila bahati mbaya laki tano yake niliila
Pia nimemsisitiza sana mumewe kwa simu afanye awezavyo atafute kazi nyingine hapa dar kama uhamisho ukishindikana
Kuhusu mchepuko wangu
Mlinishauri mm pia niache uzinzi niachane na huo mchepuko wangu Wa arusha ambao nilikua nao siku tumegongana na shemeji guest
Ushauri huu umenishinda kwa kweli maana mchepuko huu ni asset kubwa kwangu
Mke nilie nae ni mama Wa nyumbani ambae nililetewa na wazazi kutoka nyumbani nikawatii wazazi na kumuoa
Mchepuko wangu nilisoma nao chuo na tulikua na ndoto za kuoana bahati mbaya destiny haikutaka hivyo ndipo yakatokea hayo ya baba kuniletea mke
Huu mchepuko unanipenda sana ukasema hata kama mm naoa tuendeleze tu uhusiano wetu, basi nikawa nimeoa,
Bahati mbaya mchepuko ulienda nje ya nchi kwa masters program na ulikaa huko karibu miaka 5 na ndipo ukarudi hapa na kupata kazi arusha
Kiuchumi
Kutokana na gharama za maisha kupanda na familia yangu kupanuka mchepuko huu umekua Msaada mkubwa kwangu
Hii ni kutokana na ukweli kuwa nimekopa mikopo mingi kazini na hivyo napokea mshahara kidogo sana uliobaki
Mchanganuo Wa makato au marejesho upo hivi:-
(1)salaried workers loan=250,000
(2)Credit union loan=
250,000
(3)departmental loan=250
(4)blue financial services=250
Total=1,000,000/=
Salary. Loans. Difference 1,500,000-1,000,000=500,000
Baada ya makato ya mikopo yote inabaki laki tano tu
Kiasi hiki ni kidogo mno kwa mahitaji ya familia yangu ambayo ni extended, wife ni Msukuma hivyo ana ndugu nane ninaokaa nao kwangu maana Wali ukipikwa ni kilo 3 kila siku
Kila ninapofanya jaribio la kuwaondoa ndugu hao wife hununa wiki mbili na hulala na suruali tatu za jeans, na skin tight na kufuli hivyo mm husalim amri na kuacha kuwaondoa
Hivyo Nina majukum mazito sana na mikopo yote imeshafanya maendeleo ikiwemo ujenzi
Kwa hali hiyo mchepuko wangu unakua na maana kubwa sana kusaidia gurudum pale ninapokwama
Mathalan January sikua na ada za watoto hata senti tano na kazini sikopesheki tena
Mchepuko wangu ulinisaidia kulipa ada ya watoto wote watatu ya shs 4,200,000
Kwa ahadi ya kuzirudisha ingawa sijarudisha hadi sasa
Mchepuko huu umeshiriki shughuli nyingi za kifamilia I.e harusi na misiba kwa hali na Mali kwa kuchangia pesa nyingi tu ingawa wife huwa anakutana nao katika hizo shughuli bila kuufahamu
Nikimpigia simu kuna jambo lolote lile yy huondoka fasta arusha na kufika haraka
Dar
Hivyo wakuu Nina upenda sana mchepuko huu ambao umenizalia mtoto mmoja kwa sasa na hauna mpango Wa kuolewa na mtu mwingine
Mlinishauri niuache mchepuko lakin nadhan hiyo ni suicide mission kwangu
Ndo maana huwa naupenda uislam kwenye hili la wake wengi basi tu kwa kuwa mm ni mkristo sina jinsi ngoja niende wote wawili ilimradi tu wife asifaham
Huenda kama kuna mtu ana idea nifanyeje au yeyote mwenye mchepuko Wa namna hii anidaidie alifanyaje akaachana nao