Wale ma superstar ambao kila kukicha mumekua na tabia ya kuishambulia hii treni, eti watu wa kaskazini hawatapanda, napenda kuwataarifu kua treni inajaa kila siku, na imeongeza idadi ya safari kwa wiki kutokana na demand kua juu, naomba msiwe mnapinga juhudi za serikali inapowaletea wananchi wake maendeleo, eti wach...ga hawatapanda treni, fyuuu zenu