Mrejesho: Tayari nimeshatoa maamuzi

Mrejesho: Tayari nimeshatoa maamuzi

babu DC ulitakiwa wewe ndio uwepo kwenye hiko kikao,hii ndiyo busara!
Mkuu JembePoli,tumia kichwa kufikiri,hizo habari za kufuata 'moyo' wako achana nazo kabisa!
Maadamu wanakupenda na wanapendana wao wenyewe,kuwa nao wote!
Huko kuchagua ulikofanya kutakugharimu siku moja,na hiyo ni LAZIMA!
Nani aliesema ni lazima kuoa mmoja?
TAFAKARI

Uko sawa kabisa mkuu. Ningekuwepo ningemwomba anipe wote nimtunzie. Nawapenda sana wajukuu zangu!!!

cc: KOKUTONA.
 
Last edited by a moderator:
Dah umefanya vibaya sana jamani,iko siku utamkumbuka mpenz wako mmetoka naye mbali Na kumdhalilisha mbele za watu
 
I wish huyo uliyemchagua aje na jibu la hapana. Maana umeumiza hisia za hao akina dada mpaka basi. I wish ungetafuta mwingine ambaye hajui lolote kuhusu wewe hapo. Duuh maisha haya jamani looh...ninyi watoto waharibifu wa hisia sana ninyi.
 
duuh kweli wanaume ni viumbe Wa ajabu sana, yaani unadate na mwanamke for 3 years while humpendi and without telling her kwamba humpendi? daah una roho mbaya sana na hapo ndan ya hiyo miaka 3 unamuahidi kumuoa na laiti usingekuw unampa matumaini ya kumuoa basi asingekuwa na ww till now, ila nimejifunza kitu hapo.. na kumbuka, WHAT GOES AROUND COMES AROUND. na heruf kubwa kwa msisitizo.. yaan ww daah
 
Mimi ilinitokea hali kama hii nikawaacha wote nilipoona wamejuana. Jambo jema kabisa ungewaacha wote uanze upya ili kuepuka visasi.
 
Mkuu pole lakini sikuona sababu ya kumsingizia au kumfanyia visa mtu ambae mara nyingi alijitahidi kutonikosea kwani kwa miaka 3 yote nakumbuka tumeshawahi kugombana km mara 4 au 5 tu tena mara zote mimi ndio nilikuwa chanzo,siwezi kumrudia nitakuwa simtendei haki.

Ipi bora sasa kati ya kumuacha na mashahidi au kumfanya ajiachishe mwenyewe..I SWEAR UTAJUTA TU LABDA SIO KWENYE HII DUNIA TUNAYOISHI.n lem tell u iko hvihya majibu unayoyatoa ni ili kujipa moyo tu lkni ukweli ni lazima itajuta na utamkumbuka sana.na labda nikukumbushe kitu kimoja mkuu kutafuta mke ni kazi rahisi kama kuokota mapera.unaweza kujikuta hata huyo wa pili akakukataa na wakakuachia gundu la milenia ukatafuta mke kwa miaka kumi.najua hautasadiki coz hii ni theory tu lkni vitendo vikakutokea wewe.kabla sijasahau "malipo ni hapahapa haki iko mbinguni" na pia wanawake wako wengi lkin "wake"ni wachache mnoooo kuliko ufikiriavyo
 
Ipi bora sasa kati ya kumuacha na mashahidi au kumfanya ajiachishe mwenyewe..I SWEAR UTAJUTA TU LABDA SIO KWENYE HII DUNIA TUNAYOISHI.n lem tell u iko hvihya majibu unayoyatoa ni ili kujipa moyo tu lkni ukweli ni lazima itajuta na utamkumbuka sana.na labda nikukumbushe kitu kimoja mkuu kutafuta mke si kazi rahisi kama kuokota mapera.unaweza kujikuta hata huyo wa pili akakukataa na wakakuachia gundu la milenia ukatafuta mke kwa miaka kumi.najua hautasadiki coz hii ni theory tu lkni vitendo vikakutokea wewe.kabla sijasahau "malipo ni hapahapa haki iko mbinguni" na pia wanawake wako wengi lkin "wake"ni wachache mnoooo kuliko ufikiriavyo
 
Ndugu yangu bora ungetafuta njia nyingine aisee, umemuumiza sana huyo dada na ndio mchezo ninaouchukia kuliko wa kua na wapenzi wawili na huku ukiwa moyo mmoja! Sijajua nikiasi gani umemuumiza binti wawatu na haya huyo mwenzie, sikulaum lakini halika haukufanya vizuri, wenzangu wamekutabiria kilio mbeleni. Mi nakuomba tu ufanye toba ya hali ya juu juu ya huyo dada na wengineo ulio waumiza vinginevyo utalia kweli ndugu! Mungu awe nawe.
 
babu DC ulitakiwa wewe ndio uwepo kwenye hiko kikao,hii ndiyo busara!
Mkuu JembePoli,tumia kichwa kufikiri,hizo habari za kufuata 'moyo' wako achana nazo kabisa!
Maadamu wanakupenda na wanapendana wao wenyewe,kuwa nao wote!
Huko kuchagua ulikofanya kutakugharimu siku moja,na hiyo ni LAZIMA!
Nani aliesema ni lazima kuoa mmoja?
TAFAKARI

Ahsante mkuu lakini ushauri wa mkuu DC umechelewa mno.
TAFAKARI kwa sasa itategemea na busara na hekima za watu wawili lakini wakiwa na mtazamo tofauti...tafakuli lazima zipishane tu, msimamo wangu ni kusubili huyo mmoja alieomba akafikilie nae akikataa basi nitaanza upya.
 
Last edited by a moderator:
Dah umefanya vibaya sana jamani,iko siku utamkumbuka mpenz wako mmetoka naye mbali Na kumdhalilisha mbele za watu

Ooh mkuu wote watatu tumekuwa kwa muda mreefu sikuwa na namna,kumbuka hakunikosea sasa ningemuacha kwa kisingizio kipi? Au visa visa ni kumuonea.
Sikumdhalilisha nilitaka ajue jinsi gani namsamini/kumpenda lakin hakuna namna lazima nibaki na mmoja ndio nioe
 
I wish huyo uliyemchagua aje na jibu la hapana. Maana umeumiza hisia za hao akina dada mpaka basi. I wish ungetafuta mwingine ambaye hajui lolote kuhusu wewe hapo. Duuh maisha haya jamani looh...ninyi watoto waharibifu wa hisia sana ninyi.

Mmhmm!! Kuanza upya ni kufanya mnyororo wa mahusiano hawa wawili nilidumu nao nikitegemea mmoja wao awe wife material bahati mbaya au nzuri wote wakawa ni ma wife material wakanifikisha miaka yote hiyo.
Tusameheane tu sikuwa na namna nyingine nafanya.
 
duuh kweli wanaume ni viumbe Wa ajabu sana, yaani unadate na mwanamke for 3 years while humpendi and without telling her kwamba humpendi? daah una roho mbaya sana na hapo ndan ya hiyo miaka 3 unamuahidi kumuoa na laiti usingekuw unampa matumaini ya kumuoa basi asingekuwa na ww till now, ila nimejifunza kitu hapo.. na kumbuka, WHAT GOES AROUND COMES AROUND. na heruf kubwa kwa msisitizo.. yaan ww daah

Pole najua kwa mwanamke yeyote ataumia lakini kumbukeni hata niliemchagua sikuanza nae juzi kwa hiyo nae ni haki yake,
Na sio kwamba sikuwa NAMPENDA (japo kwa mwanaume inawezekana Kum date mwanamke usiempenda) mimi nilimpenda ndio maana tukadumu muda wote huo,hata wewe nadhani huwa unakula kila chakula lakini unakula zaidi kile unachokipenda.
Nisamehe lakini ndio maamuzi yangu.
 
Mimi ilinitokea hali kama hii nikawaacha wote nilipoona wamejuana. Jambo jema kabisa ungewaacha wote uanze upya ili kuepuka visasi.

Hiyo ngumu mkuu kumbuka nimeshawazoea kwa hiyo kumuacha mmoja ni njia nzuri zaidi kuliko wote hapo hata mimi nisingekuwa na raha
 
Ipi bora sasa kati ya kumuacha na mashahidi au kumfanya ajiachishe mwenyewe..I SWEAR UTAJUTA TU LABDA SIO KWENYE HII DUNIA TUNAYOISHI.n lem tell u iko hvihya majibu unayoyatoa ni ili kujipa moyo tu lkni ukweli ni lazima itajuta na utamkumbuka sana.na labda nikukumbushe kitu kimoja mkuu kutafuta mke ni kazi rahisi kama kuokota mapera.unaweza kujikuta hata huyo wa pili akakukataa na wakakuachia gundu la milenia ukatafuta mke kwa miaka kumi.najua hautasadiki coz hii ni theory tu lkni vitendo vikakutokea wewe.kabla sijasahau "malipo ni hapahapa haki iko mbinguni" na pia wanawake wako wengi lkin "wake"ni wachache mnoooo kuliko ufikiriavyo

Ni kweli mkuu wake ni wachache kuliko wanawake,lakini hawa walikuwa wote ni ma wife material hata ungekuwa wewe isingekuwa rahisi kuwapoteza,
Naomba sana asinikatae maana itaniweka kwenye wakati mgumu mno.
 
Ndugu yangu bora ungetafuta njia nyingine aisee, umemuumiza sana huyo dada na ndio mchezo ninaouchukia kuliko wa kua na wapenzi wawili na huku ukiwa moyo mmoja! Sijajua nikiasi gani umemuumiza binti wawatu na haya huyo mwenzie, sikulaum lakini halika haukufanya vizuri, wenzangu wamekutabiria kilio mbeleni. Mi nakuomba tu ufanye toba ya hali ya juu juu ya huyo dada na wengineo ulio waumiza vinginevyo utalia kweli ndugu! Mungu awe nawe.

Ahsante mkuu nadhani toba ya kweli ni kukili/unatubu hata hapa kwenu (MMU ) ni sehemu ya kukili naomba na namuombea ampate mwanaume mkweli na naamini atampata maana kwa tabia zake hakuna mwanaume atachomoa labda awe tapeli wa mapenzi.
Mwenyewe tu mda mwingine naona bora ningeacha lakini ninajiuliza mwisho wake nini.
Imebidi tu hakuna namna
 
The best way kujua kama kweli huyo binti amekusamehe kweli is putting yourself in her position, afu ujiulize kama ingekua wewe umefanyiwa hivyo ungesamehe kirahisi hivyo kwa kupigiwa goti tu na vichozi fake!
 
Ahsante mkuu lakini ushauri wa mkuu DC umechelewa mno.
TAFAKARI kwa sasa itategemea na busara na hekima za watu wawili lakini wakiwa na mtazamo tofauti...tafakuli lazima zipishane tu, msimamo wangu ni kusubili huyo mmoja alieomba akafikilie nae akikataa basi nitaanza upya.

mkuu acha tu nikushukuru kwa kushea nasi hiki kisa chako nikiamini kitakuwa funzo kwa wengine wengi!
Kwa wewe sisi Waswahili tunasemaga tu,MCHUMIA JANGA HULIA NA WA KWAO!
Alamsiki!
 
Hakuna cha kujutia hapo...
kama wa kwanza ambaye ndiye muhusika alishakubali na akasamehe, wewe songa mbele na wa pili.. hizi lawama na laana za hapa JF hazina maana yoyote.. zinaweza kukutia hofu tu ukizitilia maanani...
Hizo personality za kuogopa kufanya maamuzi magumu ndo tunazipinga nchi hii..
Congrats for being a MAN, remain so.
 
The best way kujua kama kweli huyo binti amekusamehe kweli is putting yourself in her position, afu ujiulize kama ingekua wewe umefanyiwa hivyo ungesamehe kirahisi hivyo kwa kupigiwa goti tu na vichozi fake!

Samahani mkuu ungekuwa wewe ungefanyaje,
Tuanzie hapo maana mimi mawazo yangu yameishia kwenye maamuzi hayo.
Mimi ningesamehe tu na kuheshimu hisia zake.
 
mkuu acha tu nikushukuru kwa kushea nasi hiki kisa chako nikiamini kitakuwa funzo kwa wengine wengi!
Kwa wewe sisi Waswahili tunasemaga tu,MCHUMIA JANGA HULIA NA WA KWAO!
Alamsiki!

Yah naamini kupitia mimi wengi mtakuwa mmefunguka...

Ahsante
 
Back
Top Bottom