Mrejesho: Tayari nimeshatoa maamuzi

Mrejesho: Tayari nimeshatoa maamuzi

napajua pale wasichana wapo wengi na 90% yao ni single mothers
 
Mmh ila hao wadada na wenyewe wana mioyo migumu. Yani mjuane kuwa mnadate mtu mmoja afu still mnashikamana hadi siku bwana atakapoamchagua mmoja kati yenu. Yani niendelee kugugumia tu hadi mtu atakapoamua mmh!!

Makubaliano yao wakati akisimulia ilikuwa yule wa pili aniache lakini alishindwa kwa care nilizokuwa nafanya nadhani Upendo pia lakini busara za wa kwanza Ilipelekea wawe kama wanaoneana huruma kumbuka wakati wakinichunguza walifanya urafiki kwa hiyo nguvu ya urafiki wao iliwachukua/na kupelekea ugumu wa kukwaluzana isitoshe wanaendana na kidogo wanafanana sura but sio tabia.
 
Mkuu wakati unawatongoza kila mmoja kwa wakati wake uliwaitia kikao kama ulivyofanya??ninaandika hii sms huku machoz yanatoka yenyewe.nimejaribu kukuvaa kiatu cha huyo dada wa kwanza.yani ni bora ungemfanyia visa akajiengua mwenyewe kuliko hvyo ulivyofanya.mkuu I SWEAR UTAJUTA!!na utamtamani yule wa kwanza lkni utakuwa umeshachelewa

Mkuu pole lakini sikuona sababu ya kumsingizia au kumfanyia visa mtu ambae mara nyingi alijitahidi kutonikosea kwani kwa miaka 3 yote nakumbuka tumeshawahi kugombana km mara 4 au 5 tu tena mara zote mimi ndio nilikuwa chanzo,siwezi kumrudia nitakuwa simtendei haki.
 
Ila nakuomba uwe karibu pia kwa msaada wowote ule (kama alikuwa anakutegemea) kwa yule mpenzi wako wa kwanza.

Mmh sawa, lakini hiyo itakuwa kama kumtonesha kovu lake.
Sijachukua chochote Kati ya vile nilivyompa (vingi)
Na anajiweza kwani kaajiliwa japo mshahara wake sio mkubwa sana lakini mwezi to mwezi unakutana
 
Dear muombe Mungu sana to deliver you from any tears will come out of her not to harm you . Repent dear . I do understanding that you didn't feel the same as she felt and that's why you cheated on her . My question is why you took so long to tell her about the incident? And why you called her in front of everyone else to denied her? While since you knew sio chaguo lako ungeongea nae private mkamalizana huko . But not the way you did . Do you know how she feels now? She will have a spirit of denial unless if she will fast and pray so God can intervene for her. Natamani nimfahamu huyu Dada kwa kweli so I could help her honestly. She really needs someone who can help her to heal before hajaingia kwa another relationship.. otherwise it will cost her even in the next relationship because all she will think all men are the same while its not. She will lose the meaning, taste and feeling in what a really love all about . Duuh please fast and pray for her please I beg you . So that spirit of denial can never follow her and God shall locate her husband to be . Thanks.

Ok thenks.
Nitamuombea/kujiombea.,nimemjulia hari asubuhi baada ya kutoka church na kukumbusha msamaha wangu kwake kanijibu kawaida tu japo kwa upole sana "usijari kama MUNGU hakupanga sie tusingeweza.
Ningeweza kukupa mawasiliano yake lakini sina hakika kama atafurahia kwani sio mtu wa kupenda mambo mengi kuwa hadharani.
Ahsante kwa kuchangia
 
Wadada bwana. 3yrs we unadate tu na mtu unategemea nini..he'll dump you of course. Hata ingekuwa mini, mahusiano yakizidi 2yrs bila bila nakuacha. Japo umemdhalilisha sana Dada wa watu. Usingefanya hivyo.

Mkuu sikuwa na namna nzuri kwa kweli,na njia hiyo kidogo imeleta maana kuwa namaanisha.
Ilibidi tu siku moja niwe na mmoja
 
Sitaki kuamini kama hiki ni kisa cha kweli. Yaani wazee washiriki upumbavu huu. Kuamua mtu wa kuoa siyo event ya siku moja...

Siwezi kukulazimisha uamini lakini ni zaidi ya mara 3 nilikuwa natafuta (mabandiko)humu namna nzuri ya kutoka.
Ni vizuri ukajifunza kuamini busara huwa zinatofautiana ndio maana wazee waliomba wawepo kwani nia yangu tayari niliwaeleza kikwazo ikawa namna nzuri ya kuwa huru.
 
Umesema vema.
Kwanini asimwambie yule asiyemtaka akae pembeni. Na kutangaza ndoa kwa anayemtaka kiustaarabu? Kuita wazee wakuchagulie mahawara ni utamaduni wa wapi? Hapa naona kama Shigongo at his best. Peleka ikachapishwe gazeti la amani

Hahahaa sikuwaita mimi ila nilipowaeleza walipenda wawepo tu ili wajue pia kama nia yangu ya kuoa nimeimaanisha haswaa.
Ahsante kwa kuchangia mkuu.
 
JembePoli

hongera mkuu ila ulikosea kupiga magoti na kulia mbele ya mpenzi wako tena mbele ya kadamnasi , unatofautiana nini na mizengo pinda?
 
Last edited by a moderator:
Duh uwe unasummarise nawewe..hata sijaweza maliza kusoma
 
Babu yangu mie alikuwa na wake 4. Ningekuwa mimi ningebeba wote au naanza upya.

Vinginevyo sioni ndoa hapa!
 
hongera mkuu ila ulikosea kupiga magoti na kulia mbele ya mpenzi wako tena mbele ya kadamnasi , unatofautiana nini na mizengo pinda?

Ahsante mkuu.
Maamuzi yaliniuma hata mimi nikajikuta tu mchozi unamwagika,tofauti yangu mimi na mizengo pinda ni yeye waZiri mimi mwananchi wa kawaida
 
Babu yangu mie alikuwa na wake 4. Ningekuwa mimi ningebeba wote au naanza upya.

Vinginevyo sioni ndoa hapa!

Aisee ni uamuzi mzuri lakini dunia ya leo kuishi na wake wawili bila ndoa ni kutafuta presha.
Ndoa itakuwepo tu mkuu ni maamuzi tu
 
Aisee ni uamuzi mzuri lakini dunia ya leo kuishi na wake wawili bila ndoa ni kutafuta presha.
Ndoa itakuwepo tu mkuu ni maamuzi tu

Mbona muda wote huo ulikuwa nao wote?

Kila la heri ila bado Babu haamini kama utakipona kitanzi cha mitala!
 
Babu yangu mie alikuwa na wake 4. Ningekuwa mimi ningebeba wote au naanza upya.

Vinginevyo sioni ndoa hapa!

babu DC ulitakiwa wewe ndio uwepo kwenye hiko kikao,hii ndiyo busara!
Mkuu JembePoli,tumia kichwa kufikiri,hizo habari za kufuata 'moyo' wako achana nazo kabisa!
Maadamu wanakupenda na wanapendana wao wenyewe,kuwa nao wote!
Huko kuchagua ulikofanya kutakugharimu siku moja,na hiyo ni LAZIMA!
Nani aliesema ni lazima kuoa mmoja?
TAFAKARI
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom