JembePoli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,324
- 999
- Thread starter
- #81
Hakuna cha kujutia hapo...
kama wa kwanza ambaye ndiye muhusika alishakubali na akasamehe, wewe songa mbele na wa pili.. hizi lawama na laana za hapa JF hazina maana yoyote.. zinaweza kukutia hofu tu ukizitilia maanani...
Hizo personality za kuogopa kufanya maamuzi magumu ndo tunazipinga nchi hii..
Congrats for being a MAN, remain so.
Ahsante mkuu bila shaka saivi niko na Amani.