Mrejesho: Tayari nimeshatoa maamuzi

Mrejesho: Tayari nimeshatoa maamuzi

Duuh after 3 good years she shared with you and this how you paid her back . Remember she refused to have other men because she believed you were the one . How can you do that to her ? She must be broken now even though you said she forgave you . Dear you had a chance to talk to her private soon after you knew where your heart was . I have really learn something here ( That don't date a man for too long ). Dear just remember what goes around always comes around . Thanks .

Ni kweli inaumiza na hasa kwa kumbukumbu/watu waliomtaka kipindi yupo na mimi na kuwakataa sababu yangu.
Natamani kuongea nae chemba kama unavyoshauri lakini sio kwa sasa kumbuka hata mimi pia naumia hajawahi kunikosea hofu yangu naweza kuyumbisha uamuzi wangu na kujikuta tena kwenye mahusiano.
Pole na nisamehe pia kwa kumuudhi mwanamke mwenzio.
Pia sio wote wenye uhusiano mrefu huwa wako kama situation yanguk
 
Naona kama uliyemchagua nae atakuja na jibu la kukutosa.....maana ukiwa na mwingine utamuacha yeye na kumchukua wa tatu.......

Sina hakika na jibu lake lakini nilijitahidi kuwa mwema kwake/kwao nadhani hata wao wanajua niliwajari kwa hari na mali,akifanya hivyo zamira yake bado itamuhukumu but sitakuwa na jinsi zaidi ya kuukubali ukweli.
Ahsante
 
Aisee mwanaume ni mdhalilishaji mno wat u did for her itakurudia

Hooshuu kila kitu duniani kinatokea kwa sababu mkuu sikuwa na namna,ni wakati wangu kuishi kwenye maisha sahihi na mtu sahihi nimefanya maamuzi ya moyo wangu mimi pia sijisikii poa lakini ndio hivyo
 
Hivi hii ni kweli au? Binadamu hatupaswi kufanyiana hivi unless useme umri wako ni mdogo kiasi usiwe na maamuzi tena unaishi kwa wazazi. Na hata kama umri wako ni mdogo kwa nini ulijiingiza kwenye mapenzi? (hapa najaribu kujijibu mwenyewe) man what you did was unfair mdada atakua kajifeel bad sana

Kumbuka ningeendelea kuficha ndio kama ningekuwa nazidi kulikuza tatizo,kweli hakujisikia vizuri lakini sikuwa na namna kwani hata yeye mwenyewe alijua ipo siku nitabaki na mmoja Kati yao.
Umri wangu sio mdogo na maamuzi ya kumuomba msamaa wawili yanaweza kuleta matokeo mabaya zaidi.
 
Yaani hapo maamuzi yalikuwa ni nani awe njia kuu ya kudumu na nani awe mchepuko wa kudumu.

Hahahahaaaa hiyo ni ngumu kutokea mkuu kumbuka hawa wameshakuwa marafiki na chanzo ni mimi nadhani hata sasa wanaweza kuwa maadui na chanzo nikiwa mimi mwenyewe.
Siwezi siwezi kabsaa kuwa na mchepuko.
 
Mkuu kwa vile hao walifahamiana muda mrefu na wanaongea kama marafiki,
hivyo tegemea jibu la kukataliwa kwani hatoweza kujisikia vizuri kwa kumsaliti mwenzake kwa mipango yao.

Inawezekana mkuu maana simpati kwenye simu kutwa nzima(japo ni tabia yake tunapokwazana/kutokuelewana) huwa hapendi kusumbuliwa mpaka aamue mwenyewe.
Hata akinikataa nimeshajiandaa kuanza mwanzo mpya.
 
Mmh ila hao wadada na wenyewe wana mioyo migumu. Yani mjuane kuwa mnadate mtu mmoja afu still mnashikamana hadi siku bwana atakapoamchagua mmoja kati yenu. Yani niendelee kugugumia tu hadi mtu atakapoamua mmh!!
 
Mkuu wakati unawatongoza kila mmoja kwa wakati wake uliwaitia kikao kama ulivyofanya??ninaandika hii sms huku machoz yanatoka yenyewe.nimejaribu kukuvaa kiatu cha huyo dada wa kwanza.yani ni bora ungemfanyia visa akajiengua mwenyewe kuliko hvyo ulivyofanya.mkuu I SWEAR UTAJUTA!!na utamtamani yule wa kwanza lkni utakuwa umeshachelewa
 
Huyo uliemchagua atakuja kukutenda urudi kwa uliemuacha.
 
Ila nakuomba uwe karibu pia kwa msaada wowote ule (kama alikuwa anakutegemea) kwa yule mpenzi wako wa kwanza.
 
Ni kweli inaumiza na hasa kwa kumbukumbu/watu waliomtaka kipindi yupo na mimi na kuwakataa sababu yangu.
Natamani kuongea nae chemba kama unavyoshauri lakini sio kwa sasa kumbuka hata mimi pia naumia hajawahi kunikosea hofu yangu naweza kuyumbisha uamuzi wangu na kujikuta tena kwenye mahusiano.
Pole na nisamehe pia kwa kumuudhi mwanamke mwenzio.
Pia sio wote wenye uhusiano mrefu huwa wako kama situation yanguk

Dear muombe Mungu sana to deliver you from any tears will come out of her not to harm you . Repent dear . I do understanding that you didn't feel the same as she felt and that's why you cheated on her . My question is why you took so long to tell her about the incident? And why you called her in front of everyone else to denied her? While since you knew sio chaguo lako ungeongea nae private mkamalizana huko .

But not the way you did . Do you know how she feels now? She will have a spirit of denial unless if she will fast and pray so God can intervene for her. Natamani nimfahamu huyu Dada kwa kweli so I could help her honestly.

She really needs someone who can help her to heal before hajaingia kwa another relationship.. otherwise it will cost her even in the next relationship because all she will think all men are the same while its not. She will lose the meaning, taste and feeling in what a really love all about . Duuh please fast and pray for her please I beg you . So that spirit of denial can never follow her and God shall locate her husband to be . Thanks.
 
Duuh after 3 good years she shared with you and this how you paid her back . Remember she refused to have other men because she believed you were the one . How can you do that to her ? She must be broken now even though you said she forgave you . Dear you had a chance to talk to her private soon after you knew where your heart was . I have really learn something here ( That don't date a man for too long ). Dear just remember what goes around always comes around . Thanks .

😕😕😕Thinking deep down if even you, you use to date before allowed time... Marriage
 
Wadada bwana. 3yrs we unadate tu na mtu unategemea nini..he'll dump you of course. Hata ingekuwa mini, mahusiano yakizidi 2yrs bila bila nakuacha. Japo umemdhalilisha sana Dada wa watu. Usingefanya hivyo.
 
Sitaki kuamini kama hiki ni kisa cha kweli. Yaani wazee washiriki upumbavu huu. Kuamua mtu wa kuoa siyo event ya siku moja...
 
Erro mi nahisi huyo wa Kwanza anaweza kuwa mke mwema embu kama hutajali nipe namba nirushe nyavu.
 
ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga. Nakuapia jinsi ulivomzalilisha huyo dada kwa kwanza mbele ya watu ivo ivo sio leo au kesho au kesho kutwa utakuja kulia mara mia hadharani.

Kwanza wewe ni mjinga sana yaani uliona haitoshi ikabidi umkane mbele ya watu ulishindwa nn kumwambia mwenyewe? Mjinga mkubwa yaan ulijua kuwa unachaguo lako ukaone umzalilishe ivo? Mshenzi kweli kweli

. Baada ya mwaka tutaona uzi wa machozi hapa.

Umesema vema.
Kwanini asimwambie yule asiyemtaka akae pembeni. Na kutangaza ndoa kwa anayemtaka kiustaarabu? Kuita wazee wakuchagulie mahawara ni utamaduni wa wapi? Hapa naona kama Shigongo at his best. Peleka ikachapishwe gazeti la amani
 
Back
Top Bottom