Rahabu
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 5,527
- 3,344
EeeeeehNdio mkuu,tume dumu kwa wiki 3
EeeeeehNdio mkuu,tume dumu kwa wiki 3
JidanganyeMkuu kuniroga hawezi,kwetu kigoma atajiroga yy
Ukimanisha niniDua la kuku hilo
Aisee hayo maneno kama kweli ameambiwa na mwanamke bora akatubu maana huo ujumbe ni immeasurable!Duuh ndio kakuachia Laana
Sitaki kuendelea nae ila ananigandaInamana mmekutana wanati wa ujauzito na kuachana katika kipindi hichohicho mmedumu muda gani sasa kwenye mahusiano yenu
Hapana ni maneno ya aliyeachwa KUACHWA KUBAYA BLAZA.Thnx mkuu japo me nayaona ni makali sn coz cjawahi kuambiwa hivyo
Karma is bitch mzee..... U did very wrong brother... Mwombe msamahaHabari wana bodi,
Kwa Mara nyingine tena nimerudi,baada ya kumtamkia kuwa sihitaji kuendelea nae,hatimae alichonijibu ni hiki;![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sawa haina shida. maana umekipata ulichokitaka. coz kabla yakuamua kuanza mahusiano na mimi hukujua kama nina ujauzto na huu ujauzito ni wa mtu. sasa kwanin ulitaka mahusiano na mimi?ingali unajua kama mimi ni mjamzito.ama ulizani ungemtunza huyu mtoto na mimi nikaachana na muhusika. sasa sina lakusema lakn Mungu hulipiza hapahapa dunian kama uliona raha ku lala na mtu asiye na ujauzito wako then u mtest mwisho wa siku umuache. basi kaa ukijua malipo ni hapa hapa duniani.umenifanyia leo mim kesho atafanyiwa dada ako au mtoto wako. nakutakia maisha mema. ila kamwe moyo wangu hautaacha kuwa na kinyongo nawe.
USHAURI WENU PLEASE.
Ila we nae kama ulikua huna malengo na mjamzito wa watu kwanini umuharibie kwa aliekuwa nae?Sawa mkuu,Sema nimejikuta napanic coz maneno makali sn haijawahi kunitokea.
Kama ulikuwa humpendi ulimtongoza wa nini?Hatari mkuu,hilo swali nimemuuliza pia,akanijibu kwann nilimgegeda kama nilikuwa nalijua hilo?