Mrejesho:Staki kuendelea nae ila ananiganda

Mrejesho:Staki kuendelea nae ila ananiganda

Mkuu huyu gal nilimpenda na sikujua kama atakauwa mjamzito coz aliniambia wakati Tatar alikuwa ameshanikubalia,ila nilikuwa bado cjamla.Pia stress za mahusiano niliyonayo nazo zilichangia
Pole mkuu
 
Sawa mkuuu !!!...kwan huyu mwanamke ulimtongoza ukijua anamimba au ulimtongoza LKN hukujua ana mimba !!!???.

Kama ulijua anamimba LKN ukamtongoza ,,nabado akakuambia anamimba ila hukutaka kukosa utamu ,,sure nilazima aumie sana na atoe laana !!...coz anajihisi tu km chombo cha starehe na akianza kulinganisha alompa mimba naww ambaye alikuona km MTU wakumpa raha Basi anachanganyikiwa !!!.


Anyway Noway out !!! Mwache aumie ajipange namaisha .... Coz hata tukikushauri urudiane naye HUWEZI KUFANYA IVO....so naomba tu Umuache atahuzunika for a while LKN maisha lazima yaendeleee!!.
Yan nilimtongoza akawa kama staki nataka,mwisho akanikubali,sasa nikawa kama simsomi yan simuelewi nikambana ndo akanambia kuwa anamimba ya Jamaa ila Jamaa haeleweki coz hamjali,nikaona sio tabu coz dem anakazi yake.

Kumbe Jamaa anahudumia vzr tu sema dem hampendi sana coz anadai Jamaa sio romantic
 
Mkuu sijaona kukuganda popote katika andishi lake.
Nilichoona hapo ni vitisho vya kisaikolojia.
Kazia msimamo wako kwa kuwa hakuna lawama ya kimsingi pale. Hujakimbia mke, haujakimbia mchumba, haujakimbia mimba.
Mambo yoyote halali ukiyaendea kinyume, kweli waweza kupata laana, lakini si kwa issue kama hiyo.
Tena nikuambie kitu kwa sisi wazoefu, ukirudi hapo kichwakichwa, aweza kuwa anakung'ong'a wakati ukimgegedua. Sanifu babkubwa juu ya kuwajibikia mambo yasiyokuhusu.
Tafuta pori ufyeke kuanzisha shamba lako fresh baba. Haya mengine yaliyokwisha kulimwa, mazao yake ni ya wenyewe, wewe hayakuhusu.
Shukran kwa ushauri mzuri ila tambua kuna mawasiliano yakila Mara toka kwake
 
Yan nilimtongoza akawa kama staki nataka,mwisho akanikubali,sasa nikawa kama simsomi yan simuelewi nikambana ndo akanambia kuwa anamimba ya Jamaa ila Jamaa haeleweki coz hamjali,nikaona sio tabu coz dem anakazi yake.

Kumbe Jamaa anahudumia vzr tu sema dem hampendi sana coz anadai Jamaa sio romantic
Aaahhh sasa nimekuelewa !!!.

Achana naye for the betterment of both parties ,, huyo hana akili .

Bora uwe na mwanamke alokwisha zaaa kuliko kua na mwanamke mwenye mimba ,,,,MTU mzima unakua unahesabu ,,wakwanza...wapili..,.watatuuu,,wanne ..watanoo. Wasitaaa...wasaba...wanaeee....Hapa mchezo unanyimwa ...unaendeleaa Watisaaa. .....anazaaaa. Unahesabu miezi kama mitano mbele ndo uanze kula mzigo hahahahahhah.

Niwanaume wanaokunywa Supu ya pilipili chungu nasumu ya Nyoka ndo wenye hizo Roho za * Heriiiiiiiiiiiiii wenye mioyoooooooo safiiiiiiiiiii ,,maaaaaaaaana haoooooooooo ndoooo watamwonaaaaaa .... ....*...Mbinguni hatuendiiiii kwa cheo cha uchungajiiiiii......Bali wenye *Moyo safi watakwendaaaaaaa*
 
Shukran kwa ushauri mzuri ila tambua kuna mawasiliano yakila Mara toka kwake
Kifupi unamhusudu. Unashindwaje kumkatia line kama upo serious na dhamira yako?
Jipime vyema lakini inaonesha moyo wako unampenda. Nadhani hicho kitu ndiyo kinakusumbua na kujifanya kama vile unamkwepa, eti yeye ndiye anayekazia penzi!
Binadamu tunakosea sana kuficha upendo wetu kwa washirika wetu.
Wewe umetuchanganyia vitu viwili kwa pamoja, penzi na kulea mimba.
Mimi nasema hivii? Kinachounganisha watu ni mapenzi, basi. Mambo ya mimba ya mtu sijui nini na nini, hizo ni blahnblah, watu wanalea watoto wa wanaume wenzao kwa ku-fall in love, sembuse mimba!
 
Ukitaka kuwa na mwanamke, hakikisha siku utakapoamua kumuacha atakuimbia wimbo wa Whitney Houston "I Will Always Love You".

Sio hawa vijiba roho sikumkiachana wanasema maneno ya nuksi.

Huyo hakawii hata kukutafutia watu wakufanyie ubaya.

Yanini yote hayo?
Usiombe tuachane wakati nakupebda nikitia maji tu jiandae kutumiwa lyrics na nyimbo za mapenzi siku hiyo.
 
Aaahhh sasa nimekuelewa !!!.

Achana naye for the betterment of both parties ,, huyo hana akili .

Bora uwe na mwanamke alokwisha zaaa kuliko kua na mwanamke mwenye mimba ,,,,MTU mzima unakua unahesabu ,,wakwanza...wapili..,.watatuuu,,wanne ..watanoo. Wasitaaa...wasaba...wanaeee....Hapa mchezo unanyimwa ...unaendeleaa Watisaaa. .....anazaaaa. Unahesabu miezi kama mitano mbele ndo uanze kula mzigo hahahahahhah.

Niwanaume wanaokunywa Supu ya pilipili chungu nasumu ya Nyoka ndo wenye hizo Roho za * Heriiiiiiiiiiiiii wenye mioyoooooooo safiiiiiiiiiii ,,maaaaaaaaana haoooooooooo ndoooo watamwonaaaaaa .... ....*...Mbinguni hatuendiiiii kwa cheo cha uchungajiiiiii......Bali wenye *Moyo safi watakwendaaaaaaa*
kweli mkuu nimekusomaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom