Nimekusomaa mkuuKifupi unamhusudu. Unashindwaje kumkatia line kama upo serious na dhamira yako?
Jipime vyema lakini inaonesha moyo wako unampenda. Nadhani hicho kitu ndiyo kinakusumbua na kujifanya kama vile unamkwepa, eti yeye ndiye anayekazia penzi!
Binadamu tunakosea sana kuficha upendo wetu kwa washirika wetu.
Wewe umetuchanganyia vitu viwili kwa pamoja, penzi na kulea mimba.
Mimi nasema hivii? Kinachounganisha watu ni mapenzi, basi. Mambo ya mimba ya mtu sijui nini na nini, hizo ni blahnblah, watu wanalea watoto wa wanaume wenzao kwa ku-fall in love, sembuse mimba!
Me mwenyewe hiyo ndio njia yangu kuu yakupita pindi nikitaka kulirudisha penz langu linaloelekea kuyeyuka.Pia aina za wanawake ambao huwa ninadumu nao kwa muda mrefu ni kama ww, hata kama umenikosea sana ukinibembeleza kwa nyimbo na maneno huwa naingiwa na huruma na hasira kuisha.Usiombe tuachane wakati nakupebda nikitia maji tu jiandae kutumiwa lyrics na nyimbo za mapenzi siku hiyo.
Wala sikuwa na nia yakutaka kumchezea,nilimpenda ila kilichonifanya nimuache ni baada yakujua kuwa mwenye mimba anahudumia kama kawa,suala hilo hakuniambia kabla yeye alisema Jamaa hana caring yoyoteSo,ulitaka kumchezea tu dada wa watu. My dear karma is a boss fckng b!tch..wait for yours in anyway.
Makubwa...Wala sikuwa na nia yakutaka kumchezea,nilimpenda ila kilichonifanya nimuache ni baada yakujua kuwa mwenye mimba anahudumia kama kawa,suala hilo hakuniambia kabla yeye alisema Jamaa hana caring yoyote





HakikaSawa mkuu,ila Mungu yupo
mIEZI MIWILIInamana mmekutana wanati wa ujauzito na kuachana katika kipindi hichohicho mmedumu muda gani sasa kwenye mahusiano yenu