BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,544
Habari wana bodi,
Kwa Mara nyingine tena nimerudi,baada ya kumtamkia kuwa sihitaji kuendelea nae,hatimae alichonijibu ni hiki;
Sawa haina shida. maana umekipata ulichokitaka. coz kabla yakuamua kuanza mahusiano na mimi hukujua kama nina ujauzto na huu ujauzito ni wa mtu. sasa kwanin ulitaka mahusiano na mimi?ingali unajua kama mimi ni mjamzito.ama ulizani ungemtunza huyu mtoto na mimi nikaachana na muhusika. sasa sina lakusema lakn Mungu hulipiza hapahapa dunian kama uliona raha ku lala na mtu asiye na ujauzito wako then u mtest mwisho wa siku umuache. basi kaa ukijua malipo ni hapa hapa duniani.umenifanyia leo mim kesho atafanyiwa dada ako au mtoto wako. nakutakia maisha mema. ila kamwe moyo wangu hautaacha kuwa na kinyongo nawe.
USHAURI WENU PLEASE.
Kwa Mara nyingine tena nimerudi,baada ya kumtamkia kuwa sihitaji kuendelea nae,hatimae alichonijibu ni hiki;
Sawa haina shida. maana umekipata ulichokitaka. coz kabla yakuamua kuanza mahusiano na mimi hukujua kama nina ujauzto na huu ujauzito ni wa mtu. sasa kwanin ulitaka mahusiano na mimi?ingali unajua kama mimi ni mjamzito.ama ulizani ungemtunza huyu mtoto na mimi nikaachana na muhusika. sasa sina lakusema lakn Mungu hulipiza hapahapa dunian kama uliona raha ku lala na mtu asiye na ujauzito wako then u mtest mwisho wa siku umuache. basi kaa ukijua malipo ni hapa hapa duniani.umenifanyia leo mim kesho atafanyiwa dada ako au mtoto wako. nakutakia maisha mema. ila kamwe moyo wangu hautaacha kuwa na kinyongo nawe.
USHAURI WENU PLEASE.