Jewel
Senior Member
- May 1, 2008
- 176
- 62
Dada yangu Mwili Wako Sio Maonyesho Kila Mwanaume Auone,Mwili Wako sio Mdoli Kila Mwanaume Auchezee,Mwili Wako sio Dampo Upokee Kila Uchafu wa Mwanaume,Mwili wako sio Mali ya Umma kila Mwanaume Akutumie,Mwili wako sio Kiburudisho kila Mwanaume Ajiridhishe,Mwili wako sio Pazia la Sebuleni kila Mwanaume Akufunue.Jitunze,Jithamini,Jikubali na Jiamini..Cha kufanya sasa mvizie bafuni wakati anaoga Alikgoama bado basi kama ni mtumishi rudi umecehelewa zaidi na kama ni mama wa nyumbani muda wa kufika toka nyumbani au jifiche kwa jirani hata kama atapiga simu usipokee rusi home baada ya lisaa 1 au 2 akikuuliza ulikuwa wapi mwambie nilienda kunyunduliaPoleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.
Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
D