mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,049
- 37,251
100% correctNi kweli usemayo lakini naongelea hata kabla sijaolewa. Sijawahi kustruggle kutafuta wa kunioa...
Siwezi kusema mengi hapa lakini najua kabisa nikiachika leo na umri huu nikitaka kuolewa tena nitaolewa, na mtu mpya kabisa ambae nitakutana nae baada yakuachika.
Kupata mume ni vile unavyojiweka.
Sent using Jamii Forums mobile app