Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Mada yako ya kwanza uliandika ndoa yako ina miezi nimebaki kukushangaa,Ndoa ni uvumilivu kama tatizo dogo kama hili unachanganyikiwa kubwa utaweza kweli.kuhusu huyo binti jalibu kuongea na wazazi wake wamuelekeze utaratibu ambao wew unataka afate.
