Mrejesho....nimwambie mjomba wake?

Mrejesho....nimwambie mjomba wake?

Huyu mkazamjomba nae ni dhaifu...anandharauliwa sana na huyo binti...nikipata picha wanavopishana kwenye korido la nyumba dah!

Unaingia chumbani kwa mume na mke unapekuapekua unatafuta nini?
Kama una shida na kitu..mfano labda kitana si umwambie mwenyewe aamue uende au akutolee..ye anampuuza tu kama roboti anaingia.
Huyu binti amfukuze tu arudi kwao akafunzwe tabia za kuishi na watu.si bure hata nae akiolewa ntakua anaingiza mashosti chumbani anapiga nao story..


Sent using Jamii Forums mobile app
Au mkazamjomba ndo mwenye shida¿¿¿??? Hii imenikumbusha nliwai kuishi na Anko akaoa binti mjingaaaa yaan mjinga alikuwa hata kuoga mi ndo namfokea kaoge mjomba akija mtalalaje humo unavonuka ivo??? Ndo bidada anaoga, alikuwa hajui nafasi yake analeta masela ndani nkifika nawafukuza kama yesu alivofukuza wafanyabiashara siku ile🤣🤣🤣 akawa anawaambia ndugu zake mi namdharau ata nguo za anko ni mimi kipindi iko nitoke shule niingie chumbani nkusanyeee zimezagaa adi uvunguni nifue nimnyooshee nizipange kabatini mke yupo tu ata ajui nafasi yake ni ipi
 
Hahahaa...huyo mke kibokoo
Au alikua katoka kijijini?
Au mkazamjomba ndo mwenye shida¿¿¿??? Hii imenikumbusha nliwai kuishi na Anko akaoa binti mjingaaaa yaan mjinga alikuwa hata kuoga mi ndo namfokea kaoge mjomba akija mtalalaje humo unavonuka ivo??? Ndo bidada anaoga, alikuwa hajui nafasi yake analeta masela ndani nkifika nawafukuza kama yesu alivofukuza wafanyabiashara siku ile akawa anawaambia ndugu zake mi namdharau ata nguo za anko ni mimi kipindi iko nitoke shule niingie chumbani nkusanyeee zimezagaa adi uvunguni nifue nimnyooshee nizipange kabatini mke yupo tu ata ajui nafasi yake ni ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa...huyo mke kibokoo
Au alikua katoka kijijini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alitokeaga kipawa apo airport asee ila alikuwa mjinga Atari.....ndo nawaza inakuwaje bidada aachiwe pesa afu binti ndiye apange matumizi ndani????? Inamàana akipewa anashindwa cha kufanya yule binti ndo kama maza hausi sasa ndo maana kamdharau kiasi iko
 
Huyu binti angekutana na mzaramo hapo au mzanzibar...senzy type!
Alitokeaga kipawa apo airport asee ila alikuwa mjinga Atari.....ndo nawaza inakuwaje bidada aachiwe pesa afu binti ndiye apange matumizi ndani????? Inamàana akipewa anashindwa cha kufanya yule binti ndo kama maza hausi sasa ndo maana kamdharau kiasi iko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au mkazamjomba ndo mwenye shida¿¿¿??? Hii imenikumbusha nliwai kuishi na Anko akaoa binti mjingaaaa yaan mjinga alikuwa hata kuoga mi ndo namfokea kaoge mjomba akija mtalalaje humo unavonuka ivo??? Ndo bidada anaoga, alikuwa hajui nafasi yake analeta masela ndani nkifika nawafukuza kama yesu alivofukuza wafanyabiashara siku ile🤣🤣🤣 akawa anawaambia ndugu zake mi namdharau ata nguo za anko ni mimi kipindi iko nitoke shule niingie chumbani nkusanyeee zimezagaa adi uvunguni nifue nimnyooshee nizipange kabatini mke yupo tu ata ajui nafasi yake ni ipi
Ana uchafu huyo bibie kwa Sasa amejirekebisha
 
Mada yako ya kwanza uliandika ndoa yako ina miezi nimebaki kukushangaa,Ndoa ni uvumilivu kama tatizo dogo kama hili unachanganyikiwa kubwa utaweza kweli.kuhusu huyo binti jalibu kuongea na wazazi wake wamuelekeze utaratibu ambao wew unataka afate.

Mwenye hii ID amepitia magumu sana...nimeangalia nyuzi zake za tangu mwanzo huko yani ni matatizo matatizo na yeye

Sijui tatizo liko kwake ama kwa anaokutana nao...kama ni ya kweli haya yote pole yake
 
Una complicate sana Mambo wewe au ndo huna vitu vya msingi vya kukuumiza kichwa ???

Mnapendaga ligi za kijingaaaaaaaa na kuona mna tabia nzuri dhidi ya wanawake wenzenu kila mkikutana wawili sehemu Moja basi lazima muanzishe stress eneo likose amani

Hapo nachoona wewe huwezi kukaa na mtu mwingine bila kumtoa kasoro toka uzi wa mwanzo ulionyesha Ni complicater au huyu binti Ni mzuri sana kakupita ???? hahahaahah....huyo n mtoto tu treat her like a child Tena kama mwanao

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 25 ni mtoto?
 
Mwenye hii ID amepitia magumu sana...nimeangalia nyuzi zake za tangu mwanzo huko yani ni matatizo matatizo na yeye

Sijui tatizo liko kwake ama kwa anaokutana nao...kama ni ya kweli haya yote pole yake
Kama ni kweli nampa pole sana ila kwa hili tatizo binafsi naliona dogo mno akisema aiache ndoa yake nitamshangaa sana kwanza ni aibu kuludi kwao kwa sababu kama hii. Hivi akija kukaa siku 3 mumewe haachi pesa ya matumizi si atakimbia ndoa.
 
Kama ni kweli nampa pole sana ila kwa hili tatizo binafsi naliona dogo mno akisema aiache ndoa yake nitamshangaa sana kwanza ni aibu kuludi kwao kwa sababu kama hii. Hivi akija kukaa siku 3 mumewe haachi pesa ya matumizi si atakimbia ndoa.

Kwanza nimeshangaa vyumba vyao havina milango ama?
Kama hataki maneno afunge chumba chake na funguo basi
 
Hata mtoa mada anaona binti mwenye 25 ni mdogo...sasa anashindwaje kumdhibiti anayemuita mtoto
Nimejikuta nawaza huyo mwanaume walipendana au alitafutiwa nae akakubali kwa shida ya ndoa.
 
Huyu dada anatakiwa awe mtemi

Mimi mke wangu nitamfanya waziri mkuu katika nyumba
 
Natumai mko wazima wote
Siku kadhaa zilizopita nilileta thread ya mtoto wa wifi angu kuingia chumbani kwangu na kua na madaraka..

Wengi walinishaur niitishe kikao ,,nilifanya hivyo nikamwambia mjomba wake na bint akiwepo
Mjomba wake akaniambia huyu Ni bint mdogo nakushaur uwe unamwelekeza taratibu nikamwambia nimeshakaa nikaongea nae naona haelew akadai usichoke kumwelewesha
Ajabu hata mwanae hakumwambia/ hata akumkanya basi nikanyamaza tu

Kilichonishangaza leo
asubuh bint kaenda kanisan,, Kuna kitu mme wangu alikua anatafuta alivyokosa nikamwambia subir labda kipo chumba Cha bint ngoja nikakutafutie maana kabla bint ajaja tulikua tunakutumia icho chumba labda katika kuhamisha tulikisahau
Mume akasema acha niende nikaangalie mwenyewe...nikamwambia utaingiaje chumba Cha mtoto wa kike mi nipo?
Akaingia akatafuta kakuta Kuna chupi kitandan zingine, zimeanikwa hapo...bint naona yupo kwenye siku zake maana Kuna pedi pale kitandan lkn haijatumika
nikamwambia umefurahi Sasa ulivyoona??? Ajabu ananilaum Mimi ninamawazo negative yule Ni Kama mwanae so haoni ajabu kuingia chumbani kwake Wala bint kuingia chumbani kwetu
Nimechoka mwili na roho
huyu Ni ndugu yake kweli maana nilienda ukweni nilimkuta
Nilichogundua inawezekana kwao ndio tabia yao hawana privacy au nikawaida yao
Kama Kuna wasukum hum watanisaidia inawezekana kwao Ni kitu Cha kawaida ivyo wananiona mimi ndio ninamatatizo ...jumapil njema jamani hata mood yakwenda kanisan imeisha
Labda wasukuma wa tabora but wa mwanza hatupo ivyo,ni marufuku kuingia kwenye chumba cha wanandoa au Dada zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai mko wazima wote
Siku kadhaa zilizopita nilileta thread ya mtoto wa wifi angu kuingia chumbani kwangu na kua na madaraka..

Wengi walinishaur niitishe kikao ,,nilifanya hivyo nikamwambia mjomba wake na bint akiwepo
Mjomba wake akaniambia huyu Ni bint mdogo nakushaur uwe unamwelekeza taratibu nikamwambia nimeshakaa nikaongea nae naona haelew akadai usichoke kumwelewesha
Ajabu hata mwanae hakumwambia/ hata akumkanya basi nikanyamaza tu

Kilichonishangaza leo
asubuh bint kaenda kanisan,, Kuna kitu mme wangu alikua anatafuta alivyokosa nikamwambia subir labda kipo chumba Cha bint ngoja nikakutafutie maana kabla bint ajaja tulikua tunakutumia icho chumba labda katika kuhamisha tulikisahau
Mume akasema acha niende nikaangalie mwenyewe...nikamwambia utaingiaje chumba Cha mtoto wa kike mi nipo?
Akaingia akatafuta kakuta Kuna chupi kitandan zingine, zimeanikwa hapo...bint naona yupo kwenye siku zake maana Kuna pedi pale kitandan lkn haijatumika
nikamwambia umefurahi Sasa ulivyoona??? Ajabu ananilaum Mimi ninamawazo negative yule Ni Kama mwanae so haoni ajabu kuingia chumbani kwake Wala bint kuingia chumbani kwetu
Nimechoka mwili na roho
huyu Ni ndugu yake kweli maana nilienda ukweni nilimkuta
Nilichogundua inawezekana kwao ndio tabia yao hawana privacy au nikawaida yao
Kama Kuna wasukum hum watanisaidia inawezekana kwao Ni kitu Cha kawaida ivyo wananiona mimi ndio ninamatatizo ...jumapil njema jamani hata mood yakwenda kanisan imeisha
Nimesoma msg zako zote,ni kwamba wasukuma hatuna tabia ya kuingia vyumbani kwa wakubwa kwa stairi hiyo ama kwa binti zetu.Kilichopo hapo ni kwamba mmeo hataki kumwuuzi huyo bint na inawezekana huyo mmeo na dada yake (mama wa huyo bint) wako close sn kwa hiyo anaona akimkanya huyo bint atakuwa ameharibu pia kwa dada yake.Hiyo ni tabia ya wasukuma huwa hatupendi kukera ndg hasa unaweza kukuta mama yake na binti ndo kamsomesha mmeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom