Mrejesho: Nimempa Malaya 10,000 ili nimpime Ukimwi

Huelewi. Nikusaidie, ukikutana na mtu aliyeambukizwa VVU last week kipimo kitaonyesha negative na ww ukipima utakuwa negative ila risk ya yeye kukuambukiza ni kubwa sanaaaa kuliko miaka ya mbele pake ambapo virusi vimestablelize. Huyu kunywa PEP ni uhakika zaidi kwa sababu anaondoa risk kabisa ya kupata HIV. Hapa si suala la false negative na positive.
Sawa nimeelewa, ila concern yangu atapewa na nani? Maana procedure zake ni complicated

 
Naona umeanza kunielewa kidogo ila kuna issue mbili ambazo bado mhusika anapaswa kupewa PEP.

1. Nature ya kazi ya partner kuwa anafanya biashara ya kuuza mwili, yeye hata sisi hatujui alikutana na mtu mwenye status ipi kabla ya kukutana na mleta mada.

2. Vipimo vilivyotumika haviwezi kutoa majibu ndani ya muda mfupi ambao mleta mada kakutana na huyo partner wake kujua kama partner kaathirika au mleta mada.

PEP hutolewa kwa ajili ya kumkinga anayehitaji na maambukizi hata kama status ya aliyekutana naye haijulikani.

Sasa kwakua sex was unprotected with a night worker the good thing would have been to take PEP.

Mpaka hapo mleta mada kwa scenario hii kachemka na kilichobakia tu ni huruma za Mungu.
Duh! All my life sikujuaga kama window period ni hatari zaidi.


Sasa anazipataje wakati ukifuata protocol hajafuzu?
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mkuu alipokupa tena ulienda peku au umetumia kinga?

Kama hukutumia kinga umefanya upumbavu maana kumbuka huyo ni malaya na kama amepata maumbukizi siku chache zilizopita vipimo havionyeshi hivyo unajiweka kwenye hatari.
 
hapo sawa, ila huwa wanazingua sana.
Unajieleza tu. Ila VVU kwa sasa si tishio. Unaishi navyo tu vimeshakuwa joka la kibisa sababu ya maambukizi kuwa mengi, watu wameambukizana sana. In time mtu mwenye VVU atakunywa kidonge kimoja kwa mwaka then miaka kisha tiba itapatikana. Mleta mada asipaniki. Watu kibao wanaondoka wanawaacha watu na VVU wakila maisha.
 
Kipimo cha HIV huwa kinaonyesha kuwa mtu ni positive kama ameambukizwa miezi mitatu nyuma.Kama mtu ameambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma hakiwezi kuonyesha.What if huyo dada yetu aliambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma?Mkuu nakuhakikishia kuwa umepata ngoma!
Hataweza kumuambukiza mwingine kama at kwenye damu yake yeye mwenyewe havionekani, kula maisha mkuu, mchukue mkamalizie kazi kabisa, ila usisahau magonjwa mengine hatari kuliko ukimwi
 
Acheni kumtisha jamaa huyu demu ni negative maswala ya window period ni ya kusadikika kama hamna hamna so hawezi ambukiza mwingine ni sawa na mtu ambaye tayari ana ngoma ila anatumia ARV virusi vikisha fubaa hata usuguee vipi huwezi pata iyo ngoma sasa mtu amabaye yupo window period anapatia wapi uwezo wa kuambukiza
 
Mkuu inawezekana jamaa hajapata ngoma,maana anasema kapiga tacko kumi akamaliza,hajapata mchbuko wowote.

Mkuu ni kweli, lakini usisahau kwenye suala la asilimia hata 0.1% nayo yahesabika na ndio maana sisi waswahili huwa tuna kauli kuwa "ilikuwa bahati mbaya tu"...

Sasa bahati mbaya ndio huwa hizi asilimia chache ambazo katika jinsi ya kawaida na kisayansi unaweza tu ukazipuuzia...

Pia ukimsoma, mwishoni jamaa ameandika kuwa baada ya kupima, akaenda fanya remix akiwa kajiachia bila kinga yoyote imani yake ikiwa juu ya majibu aliyopokea awali

Hata hivyo PEP ni bure, hivyo isingelimgharibu jamaa chochote zaidi ya kadhia tu ya kuwa mtumwa wa dozi kwa hizo siku za dozi...
 
Kipimo cha HIV huwa kinaonyesha kuwa mtu ni positive kama ameambukizwa miezi mitatu nyuma.Kama mtu ameambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma hakiwezi kuonyesha.What if huyo dada yetu aliambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma?Mkuu nakuhakikishia kuwa umepata ngoma!
Utamuua kwa presha mdau
 
Acheni kumtisha jamaa huyu demu ni negative maswala ya window period ni ya kusadikika kama hamna hamna so hawezi ambukiza mwingine ni sawa na mtu ambaye tayari ana ngoma ila anatumia ARV virusi vikisha fubaa hata usuguee vipi huwezi pata iyo ngoma sasa mtu amabaye yupo window period anapatia wapi uwezo wa kuambukiza
Ila watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kumtisha jamaa huyu demu ni negative maswala ya window period ni ya kusadikika kama hamna hamna so hawezi ambukiza mwingine ni sawa na mtu ambaye tayari ana ngoma ila anatumia ARV virusi vikisha fubaa hata usuguee vipi huwezi pata iyo ngoma sasa mtu amabaye yupo window period anapatia wapi uwezo wa kuambukiza
Huyo Manzi hana umeme na mchizi hana umeme...

Hao wanaitwa malaya wanaogopa moto kama sisi tu, kwa hiyo wanajilinda.

Watu tumechepa peku peku sana hao wanaowaita malaya na bado tuko safe... Na tukaamua kustaafu.

Mimi nimechomoa condom mwenyewe mara kibao...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh kwahiyo unaanza rasmi sasa kuitafuna hiyo papuchi peku kwa hasira maana wote mko fiti
 
Ni Jana tu niliweka thread ya kuuliza Kama sekunde kumi ukifanya unprotected sex unaweza kuambukizwa HIV.nilijaribu kuficha kusema kwamba sio Mimi ila kiukweli me ndo nilikua mhusika Sasa dakika ya mwisho leo asubuhi nikamtafuta huyo mwanamke nikamwelezea kuwa sijapata usingiz siku mbili nahisi umeniambukiza coz story za mtaani zinasema umeungua nikamwomba tukapime Kama amenipa Basi nianze dozi ya PPE mapema coz masaa 72 yalikuwa yaishe leo saa mbili usiku nikamwahidi Nampa 10000 akakubali tukaenda wote kituoni.nashukuru Sana nimepona wote Majibu yetu yanafanana hatuna maambukizi.nashauri msiwe mnasikiliza stori za watu ukisikia flani anao jua sio kweli mpk utibithishe kwa vipimo mwisho wa siku akanitunuku Na show moja ila sirudii Tena hiyo ndo ilikuwa ya mwisho aisee hii amri ya sita Ni ngumu kuishinda Mungu tusaidie




View attachment 1686783View attachment 1686784

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kiboko, njia ya kushindana na maradhi ya hivyo nikukaa njia kuu tu hiyo ndiyo dawa, na mpime mara kwa mara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom