Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,593
- 25,714
Ni kupata kioo tu hakuna Fundi mwenye hela ya kukulipa wengi watataja bei ya nauli tuu...Na mimi yangu LG 49 ina shida ya kioo, nimeiweka tu ndani.....kama kuna mafundi wanahitaji naweza kuisukuma ili nitafute mpya, vinginevyo kama kioo kinapatikana.