Narudi tena kuomba ufafanuzi kwa wadau. Naomba kueleweshwa hapa. Kisheria, mali ambayo mwanandoa amekukuta nayo say kiwanja/ shamba haihesabiki kama sehemu ya mali ya wanandoa? Kuna ahadi fulani husemwa kanisani (baadhi ya dini za kikristo) kuwa " nakushirikisha kwa mwili wangu na Mali zangu za duniani" hii huwa ni Mali zipi kama sio ulizonazo kabla ya ya ahadi?. Tafadhali naomba ufafanuzi kwa wajuzi.