Mrejesho: Mama kaniletea mke bila ridhaa yangu

Mrejesho: Mama kaniletea mke bila ridhaa yangu

Ndugu wana nzengo nawasalim

Wiki mbili au zaidi zilizopita niliwaeleza kuhusu binti ambae mama alikuja nae from village na kumuacha kwangu kwamba anaenda kwa kaka kusalimia kumbe akaenda kupanda basi na kurudi, na baadae akiwa huko kijijini akapiga simu na kudai huyo aliemuacha ni mke wangu, wameniolea

Mrejesho

Kwa kweli nimekua na ugomvi mkubwa na msichana wangu Florence tangu amkute huyu binti kwangu, nilijaribu kumdanganya kuwa ni cousin yangu, baadae nikadai ni mke wa ndugu yangu kaja kwa matibabu, nikabadilisha na kusema ni mchepuko wa kaka umekuja kutoka mkoani ndio nausitiri, baada ya mvutano wa karibu 2 week finally ndipo nika admit kuwa ni mke nimelazimishwa na wazazi kumuoa

Kwa zaidi ya siku nne nyuma akawa hapokei simu zangu, jana nikaona nende alikopanga, wanawake ni watu wa ovyo sana, nashanga kufika pale nakuta kuna jitu lingine lina boxer tu limejilaza kenye kochi huku mpenzi wangu akisonga ugali pembeni jikoni, nilishikwa na hasira kali nikaanzisha vagi pale kabla ya wapangaji wengine kuja kutuamua, hivi inawezekanaje mtu tumetofautiana wiki moja mbili halaf haraka hivi umepata jitu lingine? Au alikua nalo siku nyingi?

mm sio kwamba nilimkubali moja kwa moja yule mke wa mama nilikua bado namchunguza matendo ndipo niamue, kwanza nashangaa binti wa kijijini anakata mauno hadi siamini macho yangu, amenifanyia vitu vizito mno hadi nikaogopa, kwa kweli nahitaji kuijua historia yake ndipo tuendele

Ndio maana nilitaka nimbakishe Florence around, sasa na yy ndo kanifanyia ushenzi, hovyo sana huyu binti

Najua cha kufanya
Kwenye mauno kuna ukijijini mkuu?au wa bush hanogewi na sebene? Acha dharau
 
Itakuwa na Florence ameletewa mume na Baba yake
 
Ah hahahah hahaha mdogo wangu,umekuwa mtenda siku zote,sasa umetendwa unapiga kelele,tulia tu.
 
Umeuza cheni bandia na umelipwa hela bndia.Umenichekesha kweli yaani.Unamchunguza mtu ulie nae ndani alaf mchumba akusubiri.Ungejua ulivyokuwa nae jamaa alikuwa anasubiri ubugi kidogo tuu na umebugi mwee polee.
 
Zubeda si anakupatia kuliko Florance ??? Komaa nae!!!
 
we ni bwege kweli na hamnazo...kwanza ujue ulikua una share yani alikuwa standbye umemzingua kahamia kwa kiboxer kidume....af we aunataka ukae nayae uamue ndio florence afanye maamuzi after umemdump au.....naye alikuwa anatetea haki zake....eti mot anakata mauno ahahahahaah ushanogewa na wa kijijini
 
Ndugu wana nzengo nawasalim

Wiki mbili au zaidi zilizopita niliwaeleza kuhusu binti ambae mama alikuja nae from village na kumuacha kwangu kwamba anaenda kwa kaka kusalimia kumbe akaenda kupanda basi na kurudi, na baadae akiwa huko kijijini akapiga simu na kudai huyo aliemuacha ni mke wangu, wameniolea

Mrejesho

Kwa kweli nimekua na ugomvi mkubwa na msichana wangu Florence tangu amkute huyu binti kwangu, nilijaribu kumdanganya kuwa ni cousin yangu, baadae nikadai ni mke wa ndugu yangu kaja kwa matibabu, nikabadilisha na kusema ni mchepuko wa kaka umekuja kutoka mkoani ndio nausitiri, baada ya mvutano wa karibu 2 week finally ndipo nika admit kuwa ni mke nimelazimishwa na wazazi kumuoa

Kwa zaidi ya siku nne nyuma akawa hapokei simu zangu, jana nikaona nende alikopanga, wanawake ni watu wa ovyo sana, nashanga kufika pale nakuta kuna jitu lingine lina boxer tu limejilaza kenye kochi huku mpenzi wangu akisonga ugali pembeni jikoni, nilishikwa na hasira kali nikaanzisha vagi pale kabla ya wapangaji wengine kuja kutuamua, hivi inawezekanaje mtu tumetofautiana wiki moja mbili halaf haraka hivi umepata jitu lingine? Au alikua nalo siku nyingi?

mm sio kwamba nilimkubali moja kwa moja yule mke wa mama nilikua bado namchunguza matendo ndipo niamue, kwanza nashangaa binti wa kijijini anakata mauno hadi siamini macho yangu, amenifanyia vitu vizito mno hadi nikaogopa, kwa kweli nahitaji kuijua historia yake ndipo tuendele

Ndio maana nilitaka nimbakishe Florence around, sasa na yy ndo kanifanyia ushenzi, hovyo sana huyu binti

Najua cha kufanya
fanya tu hicho unachojua
 
Katolewa kijijini ma mamaako afu unashangaa anayajuaje mauno!? yani unashika mkia wa mbuzi afu unauliza anakunya kwa wapi kweli?
 
Huyo mpenzi wako wa zamani nae tangu mko kwenye mahusiano alikuwa tayari na mchepuko, aliona utamsumbua na atabaki anaumia sana moyoni ni bora mchepuko wake usimame badala ya wewe.
 
Back
Top Bottom