Jones Clean
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 393
- 678
Fuatilia kilichoandikwa comments za nyuma nime-quote mtu amesema na ame confes hivyo. Na ni ipo hivyo ila km wew ni Me na mkeo anachapwa kila cku na unasamehe mim sina comments.Wewe ni me au ke? Kama ni mwanaume umejuaje kama wanawake wanajisikia normal tu wakichepukiwa? Umewahi kuwa mwanamke ukaiona hiyo hali vile inakuwa ukichepukiwa? Au mna assume tu mwanaume akichepuka mwanamke anajisikia normal tu . Msiwasemee wanawake, na wao wanavurugukiwa mno wakisalitiwa. Usaliti unauma pande zote jamani