Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,875
- 3,236
Nimemuelewa mkuu, nimemjibu kutokana na maneno aliyochagua.
Hajasema kwa ubaya bali sidhani Kama anajua uchungu wa kujua mke wa halali wa ndoa akiliwa inaumaje. Lakini pia sio sahihi kumuacha mana Hakuna alie perfect ka nalo hili “everybody cheats, it’s known when caught if not they play it safe”, sio kisa ujamkamata Ndio useme akusaliti analiwa vzuur tu.