mcrounmj
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 380
- 885
- Thread starter
- #21
Wewe mkuu ninaimani ipo siku tutakutana sababu nilifuatilia post zako nyingi nikaona una uzoefu wa biashara ya dhahabu kwa muda mrefu. Hope siku moja tutaonana live tubadilishane uzoefu.Hatuthubutu....hapa kuna watu wako busy kufukua mafaili ya mtoa mada! Wamuumbue roho zitulie