Bukondamoyo
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 458
- 487
Well saidGari Kama hizo mgodi mpya utapifa Sana hela..mgodi ulopoa wengi wanatumia pikipiki..Bajaj succeed.etc!
Kama una 10m nunua kalasha kwa 4m,
Kodisha mwalo kwa 300k@yr.
Hela inayobaki Anza kufukizia kifusi..means nunua mawe yenye sample nzuri za dhahabu...ukitumia 4m uhakika wa kuuza 8-12m ni 95%kama kitasoma ppm nzuri...mfano kisome ppm 4-5! Hyo hela ni kugusa. Kama kitasoma 6-7 peleka mwenyew plant ukaozeshe.. hapa hukos grams za kutosha. ..mradi kifusi kiwe kikubwa..yasipungue Fao 5
kwa kalasha la hiyo 4m ni mfuko mmjo kusaga..kazi inaweza kwenda had 3mths...! Au pungufu ya hapo...!