Mrejesho: Biashara ya madini aina ya dhahabu

Gari Kama hizo mgodi mpya utapifa Sana hela..mgodi ulopoa wengi wanatumia pikipiki..Bajaj succeed.etc!
Kama una 10m nunua kalasha kwa 4m,
Kodisha mwalo kwa 300k@yr.
Hela inayobaki Anza kufukizia kifusi..means nunua mawe yenye sample nzuri za dhahabu...ukitumia 4m uhakika wa kuuza 8-12m ni 95%kama kitasoma ppm nzuri...mfano kisome ppm 4-5! Hyo hela ni kugusa. Kama kitasoma 6-7 peleka mwenyew plant ukaozeshe.. hapa hukos grams za kutosha. ..mradi kifusi kiwe kikubwa..yasipungue Fao 5
kwa kalasha la hiyo 4m ni mfuko mmjo kusaga..kazi inaweza kwenda had 3mths...! Au pungufu ya hapo...!
Well said
 
Gari Kama hizo mgodi mpya utapifa Sana hela..mgodi ulopoa wengi wanatumia pikipiki..Bajaj succeed.etc!
Kama una 10m nunua kalasha kwa 4m,
Kodisha mwalo kwa 300k@yr.
Hela inayobaki Anza kufukizia kifusi..means nunua mawe yenye sample nzuri za dhahabu...ukitumia 4m uhakika wa kuuza 8-12m ni 95%kama kitasoma ppm nzuri...mfano kisome ppm 4-5! Hyo hela ni kugusa. Kama kitasoma 6-7 peleka mwenyew plant ukaozeshe.. hapa hukos grams za kutosha. ..mradi kifusi kiwe kikubwa..yasipungue Fao 5
kwa kalasha la hiyo 4m ni mfuko mmjo kusaga..kazi inaweza kwenda had 3mths...! Au pungufu ya hapo...!
Fao 1 ni tani ngapi?
 
Boss HUE NDA UKAHITAJI

KUSAJIL KAMPUNI
-jina la Biashara
-limited caompany
-partneship

HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

KUANDIKA MEMORANDUM

KUANDAA TENDA

VISA YA KUSAFIRIA

CRB

USAFI WA:
-Majumbani
-Viwandani
-maofisini
-hosipitalini
-shuleni
-maeneo ya jamii

TUKO NA UZOEFU WAKITOSHA

Wasiliana nasi kwa # 0788104228

USHAURI NI BURE

Popote ulipo TANZANIA tunakupa huduma.
Klin&Brite
 
Machine hii inauzwa kati milion 14 hadi 15 inategemea na inatoka nchi gani japo zipo ndogo 8m had 10m pia.

Machine hii kazi yake kubwa ni kudetect mahali ilipo dhahabu na kutoa mchoro wa 3d kama ambavyo geologist huwa wanaichora so ukiwa na hii machine utamaliza kila kitu, lakini pia utachimba mahali ambako tayri unauhakika na mali iko umbali gani na kuna mwamba wa aina gani au maji yapo ya ujazo upi na mali ipo ya ukubwa gani.

Faida kubwa ya hii machine ukiwa nayo hata mtu anaemiliki costar hapa hafui dafu maana wachimbaji wadogo wataacha kwenda kwa waganga wa kienyeji tayari wewe utakuwa mganga wao hivyo kwa week kutengeneza 5m sio shida kwa kuwapimia maeneo ya kuchimbia.

Faida nyingine wewe mwenyewe ukiwa na hii machine na unajuwa kuitumia ipasavyo na ukaunda kikundi cha kuchimba baada kupima hapa nahisi baada miezi leizer atakuja kukusalimia.

Mfano kigogo kuna jamaa ana machine moja ina uwezo wa kupima kwenda chini 1m tu lakini kwa mwezi hakosi 4m na kuendelea je hiyo ya 50m kwenda chini na mapana inapima 3000m huoni kuwa hapa hii italipa zaidi lakini bado itafanya vitu vingi kitaalamu.

Karibu sana kwa mtu yeyote mwenye mtaji sitaki hela ila naitaka hiyo machine tu kanunue mwenyewe uje nayo utakuja useme kwa nini nilichelewa namna hii
We mdanganye mwenzio tu
 
Machine hii inauzwa kati milion 14 hadi 15 inategemea na inatoka nchi gani japo zipo ndogo 8m had 10m pia.

Machine hii kazi yake kubwa ni kudetect mahali ilipo dhahabu na kutoa mchoro wa 3d kama ambavyo geologist huwa wanaichora so ukiwa na hii machine utamaliza kila kitu, lakini pia utachimba mahali ambako tayri unauhakika na mali iko umbali gani na kuna mwamba wa aina gani au maji yapo ya ujazo upi na mali ipo ya ukubwa gani.

Faida kubwa ya hii machine ukiwa nayo hata mtu anaemiliki costar hapa hafui dafu maana wachimbaji wadogo wataacha kwenda kwa waganga wa kienyeji tayari wewe utakuwa mganga wao hivyo kwa week kutengeneza 5m sio shida kwa kuwapimia maeneo ya kuchimbia.

Faida nyingine wewe mwenyewe ukiwa na hii machine na unajuwa kuitumia ipasavyo na ukaunda kikundi cha kuchimba baada kupima hapa nahisi baada miezi leizer atakuja kukusalimia.

Mfano kigogo kuna jamaa ana machine moja ina uwezo wa kupima kwenda chini 1m tu lakini kwa mwezi hakosi 4m na kuendelea je hiyo ya 50m kwenda chini na mapana inapima 3000m huoni kuwa hapa hii italipa zaidi lakini bado itafanya vitu vingi kitaalamu.

Karibu sana kwa mtu yeyote mwenye mtaji sitaki hela ila naitaka hiyo machine tu kanunue mwenyewe uje nayo utakuja useme kwa nini nilichelewa namna hii

Machine hii inauzwa kati milion 14 hadi 15 inategemea na inatoka nchi gani japo zipo ndogo 8m had 10m pia.

Machine hii kazi yake kubwa ni kudetect mahali ilipo dhahabu na kutoa mchoro wa 3d kama ambavyo geologist huwa wanaichora so ukiwa na hii machine utamaliza kila kitu, lakini pia utachimba mahali ambako tayri unauhakika na mali iko umbali gani na kuna mwamba wa aina gani au maji yapo ya ujazo upi na mali ipo ya ukubwa gani.

Faida kubwa ya hii machine ukiwa nayo hata mtu anaemiliki costar hapa hafui dafu maana wachimbaji wadogo wataacha kwenda kwa waganga wa kienyeji tayari wewe utakuwa mganga wao hivyo kwa week kutengeneza 5m sio shida kwa kuwapimia maeneo ya kuchimbia.

Faida nyingine wewe mwenyewe ukiwa na hii machine na unajuwa kuitumia ipasavyo na ukaunda kikundi cha kuchimba baada kupima hapa nahisi baada miezi leizer atakuja kukusalimia.

Mfano kigogo kuna jamaa ana machine moja ina uwezo wa kupima kwenda chini 1m tu lakini kwa mwezi hakosi 4m na kuendelea je hiyo ya 50m kwenda chini na mapana inapima 3000m huoni kuwa hapa hii italipa zaidi lakini bado itafanya vitu vingi kitaalamu.

Karibu sana kwa mtu yeyote mwenye mtaji sitaki hela ila naitaka hiyo machine tu kanunue mwenyewe uje nayo utakuja useme kwa nini nilichelewa namna hii
Kupata real ndio mtihani....wapi mtu anaweza kununua hii
 
KWA HUDUMA

KUSAJIL KAMPUNI
-jina la Biashara
-limited caompany
-partneship

HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

KUANDIKA MEMORANDUM

USAFI WA:
-Majumbani
-Viwandani
-maofisini
-hosipitalini
-shuleni
-maeneo ya jamii

TUKO NA UZOEFU WAKUTOSHA

Wasiliana nasi kwa # 0788104228

USHAURI NI BURE

Popote ulipo TANZANIA tunakupa huduma.
Klin&Brite
 
Ningekua na muda ningekupa mpaka walalamikaji wanaozidai kampuni zilizowaingiza mkenge including GER DETECTOR.

Anyway nikwambie tu "natural mystic flows through the air" (if you listen carefully enough you will hear)

Nikwambie kwa lugha nyingine "UKWELI HAUPAMBWI"
Upo sahihi mkuu,wengi wao wanaoingia mkenge kwenye hz detector,hata migodini hawajawahi kufika...

Na ndio hao hao utasikia wanasema "wachimbaji wadogo hawana elimu wapo local" wakati hapo mtu kawekeza mamilioni ya hela...

Sijawahi kuona biashara iliyojaa matapeli km biashara ya dhahabu ..yaani sio tu Africa mpk ulaya...
Tuweni makini ndugu zangu
 
Wapambanaji wenzangu najiaandaa kuleta mrejesho wa biashara ya madini ya dhahabu msimu wa pili ( Gold business feedback second season). Hii ni baada ya Mimi kujitosa kwenye biashara hii, June twenty twenty nilikuja jukwaani kutaka kufahamu abc za hiyo biashara kutoka kwa experts. Miezi sita baadae yaaani December nilileta mrejesho wa wapi nimefikia. Wapo waliodhani ni promota niliyetumwa kuja kuibia watu. Sasa nikikaribia kukamilisha mwaka juni hii ya twenty twenty one nitaleta mrejesho wa ups and downs na wapi nilipo. Hii ni kutia hamasa miongoni mwa vijana kuona kila utakachodhamilia utakifikia panapo juhudi, nidhamu na kutokata tamaa.
 
Machine hii inauzwa kati milion 14 hadi 15 inategemea na inatoka nchi gani japo zipo ndogo 8m had 10m pia.

Machine hii kazi yake kubwa ni kudetect mahali ilipo dhahabu na kutoa mchoro wa 3d kama ambavyo geologist huwa wanaichora so ukiwa na hii machine utamaliza kila kitu, lakini pia utachimba mahali ambako tayri unauhakika na mali iko umbali gani na kuna mwamba wa aina gani au maji yapo ya ujazo upi na mali ipo ya ukubwa gani.

Faida kubwa ya hii machine ukiwa nayo hata mtu anaemiliki costar hapa hafui dafu maana wachimbaji wadogo wataacha kwenda kwa waganga wa kienyeji tayari wewe utakuwa mganga wao hivyo kwa week kutengeneza 5m sio shida kwa kuwapimia maeneo ya kuchimbia.

Faida nyingine wewe mwenyewe ukiwa na hii machine na unajuwa kuitumia ipasavyo na ukaunda kikundi cha kuchimba baada kupima hapa nahisi baada miezi leizer atakuja kukusalimia.

Mfano kigogo kuna jamaa ana machine moja ina uwezo wa kupima kwenda chini 1m tu lakini kwa mwezi hakosi 4m na kuendelea je hiyo ya 50m kwenda chini na mapana inapima 3000m huoni kuwa hapa hii italipa zaidi lakini bado itafanya vitu vingi kitaalamu.

Karibu sana kwa mtu yeyote mwenye mtaji sitaki hela ila naitaka hiyo machine tu kanunue mwenyewe uje nayo utakuja useme kwa nini nilichelewa namna hii
Ndama vp unaendeleaje mkuu?

Ulifanikiwa?!
 
Wapambanaji wenzangu najiaandaa kuleta mrejesho wa biashara ya madini ya dhahabu msimu wa pili ( Gold business feedback second season). Hii ni baada ya Mimi kujitosa kwenye biashara hii, June twenty twenty nilikuja jukwaani kutaka kufahamu abc za hiyo biashara kutoka kwa experts. Miezi sita baadae yaaani December nilileta mrejesho wa wapi nimefikia. Wapo waliodhani ni promota niliyetumwa kuja kuibia watu. Sasa nikikaribia kukamilisha mwaka juni hii ya twenty twenty one nitaleta mrejesho wa ups and downs na wapi nilipo. Hii ni kutia hamasa miongoni mwa vijana kuona kila utakachodhamilia utakifikia panapo juhudi, nidhamu na kutokata tamaa.
Tunasubiri mrejesho mkuu😊
 
Back
Top Bottom