Mrejesho 2: Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Haka kajamaa kanajikuta kachawa kanadhani mama samia atapitia hii thread ili katafutwe kapewe mchongo...pambana kiume acha kulia lia kama una kipaji kiseme dunia itakiona we unadhani wakina mbape au kina diamond walisaidiwa na maraisi zao mwanzoni mwa hustle zao
ACHA makasiriko Bro. Mimi nimetoa ushuhuda tu wa kilichonitokea. Lakini pia ni kuwapa watu hamasa kwamba , wanapaswa kuwa makini kama Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo makini. Wasifanye utani kabisa na picha ya RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kuhusu Sijui KIPAJI....oya...KIPAJI pasipo Karama, au Kipawa ama Talanta...ni Sawa na Kazi bure. Kwani we USHAWAHI kuona wapi gari la gurudumu Moja?

Unadhani kwanini gari la RAIS linalindwa vile? Huku wasaidizi wake wakilikimbiza pande zote za matairi??? Oya changamka wewe...hii ni 2023!!!!
 
Siko Bunda mkuu japo ndio nyumbani kwetu nipo Morogoro kwa sasa baada ya kuvurugwa na mwanamke
Chizi kweli we jamaa....we ushaona wapi ..na utaweza vipi kuishi na Mwanamke kwà kutumia UCHIZI, WEHU au UKICHAA.


Changamka Bro..., Ishi na mwanamke kwà kutumia Akili!!!! ACHA uboya!!!!
 
Confirmed : Wewe ni mwana Jf wa hovyo kuwahi kutokea katika historia ya Jf , na kama mpaka sasa una mawazo kama uliyoelezea kwenye uzi na kufikia ujinga wa kiasi kikubwa namna hiyo basi utakuwa hasara kubwa kwa familia , ukoo na nchi kea ujumla.

#Badilika
 
Confirmed : Wewe ni mwana Jf wa hovyo kuwahi kutokea katika historia ya Jf , na kama mpaka sasa una mawazo kama uliyoelezea kwenye uzi na kufikia ujinga wa kiasi kikubwa namna hiyo basi utakuwa hasara kubwa kwa familia , ukoo na nchi kea ujumla.

#Badilika
Oya..nasemaje.... Mungu hatoki kijijini kwenu.....na tena Mungu sio Athuman....mbona tungekoma!!!! ACHA makasiriko!!!
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kheri ya Mwaka Mpya Ndugu zangu!

Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa kuniruhusu kuuona mwaka 2023. Kama nilivyowaambia mwaka jana mwishoni...Mimi ndiye yule Kijana niliyekua naomba kuonana na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ili niweze kusikia Mwongozo wake, busara zake na Utashi wake kabla sijafanya uamuzi wa kujitoa uhai wangu.

Kwa bahati nzuri,..niliweza kuichukua picha yake na kuanza kuitizama sana huku nikitokwa na machozi...nikiomba anisaidie.Nilifanya kitendo hiki usiku na nikapitiwa na usingizi. Na hapo ndipo nilipoota naongea na Mhe. Rais , akiniambia...atanisaidia kunipa pesa kupitia Mama yangu MZAZI, na tena nisilie, atanisaidia. Ilipofika Asubuhi, nikashangaa Mama yangu MZAZI ananipigia simu...tukaongea pale na kisha akanitumia sh. Laki Moja.

Kiukweli nilishangaa kitendo hiki, imekuaje hiyo connection, na kwa kuwa bado nilikua nina uhitaji wa pesa zaidi ya hiyo....nikasubiri tena usiku uingie...nikafanya kitendo kile kile cha kumuomba Mhe. Rais msaada kupitia picha...this time hakunitokea kwenye ndoto. Nikasema sio case.

Sasa jana mchana , nilikua mpweke sana...macho muda wote yalikua yanatoka machozi kwa mbali...hata kwa kuniangalia tu..lazima ungeweza kujua nina mistress mingi. Nikaichukua tena picha ya Mhe. Rais , nikamwambia kama tunapiga story tu vile...Mama Nimekwama..ninahitaji shilingi laki tatu...then nikapitiwa na usingizi. Nikaona kwenye ndoto ya mchana , Mhe. Rais kaja na kuniambia nitakusaidia ombi lako kupitia mtu jioni hii. Usijali mwanangu.

Kweli Bwana, kufika jioni..mida ya saa Moja hivi..nikashangaa napigiwa simu na mtu ambae tulipotezana kitambo sana....oya vipi wewe? Mbona sauti yako ipo kinyonge sana....shwari mtu wangu? Unatesekea pande zipi mkali wangu? Maswali yake yakawa hivyo ..then mwisho wa maongezi akaniambia sikilizia muamala hapo na wewe uifurahie sikukuu....

Mara triii laki tatu ikaingia....aloooo wee!!!

"Ndugu Mteja
Umepokea kiasi cha TZS 300,000 katika akaunti yako nambari: 01525*****00
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714197700"

Sasa basi, napenda kuchukua nafasi hii , kukushukuru sana Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN kwa kunisaidia hitaji langu.

Nakuahidi 2025 nitakupa kura yangu. Nakushukuru sana Mama yangu. Nakutakia Heri ya Sikukuu ya Mwaka Mpya 2023.


Nakushukuru sana sana Mama ( Tears of joy) . Kweli nimekukubali Mama , Hakika unaupiga mwingi!

Ng'ara SAMIA Ng'ara!!!!!

View attachment 2465117
Mnatutega mtufunge eeeh. Tumewashtukia
 
Zikiisha Tena usiache kuomba . Formula za maisha ninyepesi sema tunakua serious Sana
Tatizo watu wanapenda kukaririshwa vitu...hawapendi kuhoji...like...why kila nikienda kwenye ofisi za UMMA au kwenye baadhi ya ofisi za biashara , kunakuwa na picha ya RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Nini maana yake....hata kama usipopewa jibu la kueleweka....relax ..sit ...down ...think about...#meditate... mpaka ukutane na aliyetoa wazo la kuweka picha ya RAIS sehemu hizo... simple!!!
 
Mnatutega mtufunge eeeh. Tumewashtukia
Usiogope Ndugu yangu! Rais wetu mpendwa Mhe. Dkt SAMIA SULUHU HASSAN mtu Kazi sana. Sio mtu wa makasiriko...hana roho ya choyo! Ni mtu Kiboko kabisa...amenyooka...hajarogwa!
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kheri ya Mwaka Mpya Ndugu zangu!

Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa kuniruhusu kuuona mwaka 2023. Kama nilivyowaambia mwaka jana mwishoni...Mimi ndiye yule Kijana niliyekua naomba kuonana na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ili niweze kusikia Mwongozo wake, busara zake na Utashi wake kabla sijafanya uamuzi wa kujitoa uhai wangu.

Kwa bahati nzuri,..niliweza kuichukua picha yake na kuanza kuitizama sana huku nikitokwa na machozi...nikiomba anisaidie.Nilifanya kitendo hiki usiku na nikapitiwa na usingizi. Na hapo ndipo nilipoota naongea na Mhe. Rais , akiniambia...atanisaidia kunipa pesa kupitia Mama yangu MZAZI, na tena nisilie, atanisaidia. Ilipofika Asubuhi, nikashangaa Mama yangu MZAZI ananipigia simu...tukaongea pale na kisha akanitumia sh. Laki Moja.

Kiukweli nilishangaa kitendo hiki, imekuaje hiyo connection, na kwa kuwa bado nilikua nina uhitaji wa pesa zaidi ya hiyo....nikasubiri tena usiku uingie...nikafanya kitendo kile kile cha kumuomba Mhe. Rais msaada kupitia picha...this time hakunitokea kwenye ndoto. Nikasema sio case.

Sasa jana mchana , nilikua mpweke sana...macho muda wote yalikua yanatoka machozi kwa mbali...hata kwa kuniangalia tu..lazima ungeweza kujua nina mistress mingi. Nikaichukua tena picha ya Mhe. Rais , nikamwambia kama tunapiga story tu vile...Mama Nimekwama..ninahitaji shilingi laki tatu...then nikapitiwa na usingizi. Nikaona kwenye ndoto ya mchana , Mhe. Rais kaja na kuniambia nitakusaidia ombi lako kupitia mtu jioni hii. Usijali mwanangu.

Kweli Bwana, kufika jioni..mida ya saa Moja hivi..nikashangaa napigiwa simu na mtu ambae tulipotezana kitambo sana....oya vipi wewe? Mbona sauti yako ipo kinyonge sana....shwari mtu wangu? Unatesekea pande zipi mkali wangu? Maswali yake yakawa hivyo ..then mwisho wa maongezi akaniambia sikilizia muamala hapo na wewe uifurahie sikukuu....

Mara triii laki tatu ikaingia....aloooo wee!!!

"Ndugu Mteja
Umepokea kiasi cha TZS 300,000 katika akaunti yako nambari: 01525*****00
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714197700"

Sasa basi, napenda kuchukua nafasi hii , kukushukuru sana Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN kwa kunisaidia hitaji langu.

Nakuahidi 2025 nitakupa kura yangu. Nakushukuru sana Mama yangu. Nakutakia Heri ya Sikukuu ya Mwaka Mpya 2023.


Nakushukuru sana sana Mama ( Tears of joy) . Kweli nimekukubali Mama , Hakika unaupiga mwingi!

Ng'ara SAMIA Ng'ara!!!!!

View attachment 2465117
Mbinu zote zimeshindikana sasa ulozi unageuzwa kuwa muujiza
 
Hongera! Uzi mzuri sana.
It is written,"
but God chose the foolish things of the world, that he might put to shame them that are wise; and God chose the weak things of the world, that he might put to shame the things that are strong;
 
Sasa basi, napenda kuchukua nafasi hii , kukushukuru sana Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN kwa kunisaidia hitaji langu.

Nakuahidi 2025 nitakupa kura yangu. Nakushukuru sana Mama yangu. Nakutakia Heri ya Sikukuu ya Mwaka Mpya 2023.


Nakushukuru sana sana Mama ( Tears of joy) . Kweli nimekukubali Mama , Hakika unaupiga mwingi!

Ng'ara SAMIA Ng'ara!!!!!

View attachment 2465117

Itoshe tu kusema Wazanzibari mchezo wenu tumeugundua.

Kutoka Cuba.
 
Back
Top Bottom