Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kheri ya Mwaka Mpya Ndugu zangu!
Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa kuniruhusu kuuona mwaka 2023. Kama nilivyowaambia mwaka jana mwishoni...Mimi ndiye yule Kijana niliyekua naomba kuonana na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ili niweze kusikia Mwongozo wake, busara zake na Utashi wake kabla sijafanya uamuzi wa kujitoa uhai wangu.
Kwa bahati nzuri,..niliweza kuichukua picha yake na kuanza kuitizama sana huku nikitokwa na machozi...nikiomba anisaidie.Nilifanya kitendo hiki usiku na nikapitiwa na usingizi. Na hapo ndipo nilipoota naongea na Mhe. Rais , akiniambia...atanisaidia kunipa pesa kupitia Mama yangu MZAZI, na tena nisilie, atanisaidia. Ilipofika Asubuhi, nikashangaa Mama yangu MZAZI ananipigia simu...tukaongea pale na kisha akanitumia sh. Laki Moja.
Kiukweli nilishangaa kitendo hiki, imekuaje hiyo connection, na kwa kuwa bado nilikua nina uhitaji wa pesa zaidi ya hiyo....nikasubiri tena usiku uingie...nikafanya kitendo kile kile cha kumuomba Mhe. Rais msaada kupitia picha...this time hakunitokea kwenye ndoto. Nikasema sio case.
Sasa jana mchana , nilikua mpweke sana...macho muda wote yalikua yanatoka machozi kwa mbali...hata kwa kuniangalia tu..lazima ungeweza kujua nina mistress mingi. Nikaichukua tena picha ya Mhe. Rais , nikamwambia kama tunapiga story tu vile...Mama Nimekwama..ninahitaji shilingi laki tatu...then nikapitiwa na usingizi. Nikaona kwenye ndoto ya mchana , Mhe. Rais kaja na kuniambia nitakusaidia ombi lako kupitia mtu jioni hii. Usijali mwanangu.
Kweli Bwana, kufika jioni..mida ya saa Moja hivi..nikashangaa napigiwa simu na mtu ambae tulipotezana kitambo sana....oya vipi wewe? Mbona sauti yako ipo kinyonge sana....shwari mtu wangu? Unatesekea pande zipi mkali wangu? Maswali yake yakawa hivyo ..then mwisho wa maongezi akaniambia sikilizia muamala hapo na wewe uifurahie sikukuu....
Mara triii laki tatu ikaingia....aloooo wee!!!
"Ndugu Mteja
Umepokea kiasi cha TZS 300,000 katika akaunti yako nambari: 01525*****00
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714197700"
Sasa basi, napenda kuchukua nafasi hii , kukushukuru sana Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN kwa kunisaidia hitaji langu.
Nakuahidi 2025 nitakupa kura yangu. Nakushukuru sana Mama yangu. Nakutakia Heri ya Sikukuu ya Mwaka Mpya 2023.
Nakushukuru sana sana Mama ( Tears of joy) . Kweli nimekukubali Mama , Hakika unaupiga mwingi!
Ng'ara SAMIA Ng'ara!!!!!
Kheri ya Mwaka Mpya Ndugu zangu!
Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa kuniruhusu kuuona mwaka 2023. Kama nilivyowaambia mwaka jana mwishoni...Mimi ndiye yule Kijana niliyekua naomba kuonana na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ili niweze kusikia Mwongozo wake, busara zake na Utashi wake kabla sijafanya uamuzi wa kujitoa uhai wangu.
Kwa bahati nzuri,..niliweza kuichukua picha yake na kuanza kuitizama sana huku nikitokwa na machozi...nikiomba anisaidie.Nilifanya kitendo hiki usiku na nikapitiwa na usingizi. Na hapo ndipo nilipoota naongea na Mhe. Rais , akiniambia...atanisaidia kunipa pesa kupitia Mama yangu MZAZI, na tena nisilie, atanisaidia. Ilipofika Asubuhi, nikashangaa Mama yangu MZAZI ananipigia simu...tukaongea pale na kisha akanitumia sh. Laki Moja.
Kiukweli nilishangaa kitendo hiki, imekuaje hiyo connection, na kwa kuwa bado nilikua nina uhitaji wa pesa zaidi ya hiyo....nikasubiri tena usiku uingie...nikafanya kitendo kile kile cha kumuomba Mhe. Rais msaada kupitia picha...this time hakunitokea kwenye ndoto. Nikasema sio case.
Sasa jana mchana , nilikua mpweke sana...macho muda wote yalikua yanatoka machozi kwa mbali...hata kwa kuniangalia tu..lazima ungeweza kujua nina mistress mingi. Nikaichukua tena picha ya Mhe. Rais , nikamwambia kama tunapiga story tu vile...Mama Nimekwama..ninahitaji shilingi laki tatu...then nikapitiwa na usingizi. Nikaona kwenye ndoto ya mchana , Mhe. Rais kaja na kuniambia nitakusaidia ombi lako kupitia mtu jioni hii. Usijali mwanangu.
Kweli Bwana, kufika jioni..mida ya saa Moja hivi..nikashangaa napigiwa simu na mtu ambae tulipotezana kitambo sana....oya vipi wewe? Mbona sauti yako ipo kinyonge sana....shwari mtu wangu? Unatesekea pande zipi mkali wangu? Maswali yake yakawa hivyo ..then mwisho wa maongezi akaniambia sikilizia muamala hapo na wewe uifurahie sikukuu....
Mara triii laki tatu ikaingia....aloooo wee!!!
"Ndugu Mteja
Umepokea kiasi cha TZS 300,000 katika akaunti yako nambari: 01525*****00
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714197700"
Sasa basi, napenda kuchukua nafasi hii , kukushukuru sana Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN kwa kunisaidia hitaji langu.
Nakuahidi 2025 nitakupa kura yangu. Nakushukuru sana Mama yangu. Nakutakia Heri ya Sikukuu ya Mwaka Mpya 2023.
Nakushukuru sana sana Mama ( Tears of joy) . Kweli nimekukubali Mama , Hakika unaupiga mwingi!
Ng'ara SAMIA Ng'ara!!!!!