Mramba achaguliwa Mwenyekiti Bodi ya TANROADS MKOA.

This country is going nowhere as long as CCM is in control. Unfortunately the opposition is in a pathetic state and the population is poor and uneducated so CCM will be around for a long time.
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.
 
- Ni lazima ujue kwanza forces zilizohusika kumtoa kwa dhamana, the dataz ni kwamba nguvu kubwa ya ukabila ilitumika tena na wenye nafasi kubwa sana Nationally sasa na zamani, sasa hii ni in your face message kwa Muungwana na waziri wake wa sheria, don't you dare again!

- Nani anabisha?

Respect.

FMEs!
Simple there is swahili proverb "Zimwi likujualo halikuli likakwisha" end of the story.
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.

Quick question Wewe ungekua na kampuni yako (kwa mfano), unge muajiri mtu ambae ana kesi ya ubadhilifu wa fedha?
 
Aagh nasikia kutapika ,huo ni mtaji wa kuelekea uchaguzi 2010 na sheria zinasemeja kwa kisa hicho,haya wataaluma wa sheria hapo ndipo tunataka mtuonyeshe unguli wenu
 
Mnashangaa nini? Mbona Patel ana kesi ya kujibu lakini alipewa tenda kubwa kabisa ya kuingiza matrekta kwa ajili ya wakulima? Hao wote ni jamaa zake JK. Na ninafikiri kwa kukubali kwao kudhalilika kwa kusimama mahakamani watalipwa mipesa ya kumwaga. Acha tuendelee tu kujipa mahope kwamba JK amewashitaki mafisadi. Tumepigwa changa la macho wanawane!

well referenced...ndomjue JK msanii hana lolote la maana katika kesi hizo na leo mnashangaa haya mtashangaa watakapoachiwa kuwa hawana hatia na kulipwa fidia lukuki
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.

Kuna kitu kinaitwa"ethics of conduct",na sio kweli kama anavyotaka kuonyesha Pundamilia kuwa jamii inapaswa tu ifuate"statutory law" kutoa mawazo yao bali hata "ethics" lzm nazo zifuatwe kwenye utawala wowote wa kisheria!

Gavana wa New York alijiuzuru kwa sababu tu alikamatwa na kahaba, gavana wa Carolina anasulubishwa sasa na Bunge lake kwa sababu alisaliti ndoa yake kwenda Argentina kula raha na kahaba au Bill clinton aliponea chupuchupu kuvuliwa U-Rais kwa kuigeuza White House kama danguro!Waliwajibishwa kwa sababu ni kinyume na ethics kwa kiongozi kuwa na kahaba wa nje na wala hawakuwajibishwa kwa kutumia katiba zao!

Kuchaguliwa kwa wa Mramba kungekamwa kwa sababu ya"lack of ethics of conducts";ana kesi mahakamani ya kutumia vibaya fedha za UMMA,na kumbuka kuwa kama kiongozi wa TANROADS ataapewa tena dhamana ya usimamizi wa matumizi ya pesa za UMMA;jambo ambalo anashtakiwa nalo mahakamani kuwa alitumia vibaya!

Pundamilia,si lzm tufuate katiba ndiyo tuamue mustakabali wa Taifa hili bali hata"ethics of conduct" kama wenzetu wanavofanya nazo zinapaswa kufuatwa!

Yes,we are Great thinkers na hatujakosea kuilaumu TANROADS kwa kumpa cheo mtuhumiwa wa kesi ya matumizi mabaya ya pesa za UMMA!
 
Nyie mmesahau mramba ndiye aliyemega fungu la kujenga barabara ya kwenda kwake rombo kwa kiwango cha lami wakati akiwa waziri
hahaaaa hiyo ni Tanzania tu yawezekana
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.

mbona wewe hujaweka
 
THIS IS GAME OF ..............., Wadaganyika tutaendelea kudanganywa hadi lini? imefikia wakati tukaamua, hivi lini tutaacha kuongea na kufanya kazi, we need real fighters, hivi nani anasimamia maamuzi kama haya? wananchi wa Kilimanjaro na Tanzania yote tuunganeni kupambambana na hili, hivi tukiamua kwenda kulala nje ya geti la Ikulu wote kwa pamoja watatufanya nini? Mwenye jibu anisaidie ili niweze jua nini kitatokea na kwa nini tunashindwa kufanya maamuzi maziti kwa ajili ya mustakabali ya nchi yetu

Imefikia wakati tutoae maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na wala siyo kusubiri 2010, hakuna magic 2010, lazima tubadilike sasa.
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.


Eti sababu za kisheria? My be you are out of your mind, kinachoelezwa hapa ni kwamba huyu mtu ana kesi ya ufisadi tena wa mabilioni ya wananchi na ipo mahakamani halafu unauliza sababu za kisheria? Au na wewe ni fisadi?

Kwa kweli nchi inaenda ndivyo sivyo, na sijui kizazi chetu tutakiambia nini siku zijazo, na labda ndiyo maana mtoto wangu mdogo wa miaka mitatu niliwahi kumuuliza kwamba ukiwa mkubwa unataka kusomea nini? Bila kutegemea alinijibu kwa haraka "UFISADI". Nikamuuliza tena, kwa nini? akajibu "ILI NIWE NA HELA NYINGI".
 
Jamani naomba kuuliza.
Kwa mfano ktk kesi ya kina Mramba inayoendelea ikionekana Mramba ana hatia na kuhukumiwa kifungo,
Je ataendelea kutumikia hiko cheo chake kipya akiwa gerezani au atateuliliwa mwingine yeyote (anaweza kuwa Liyumba) kuziba pengo?
 
Hii nzuri sana,

Maana inaonyesha Tanzania inaongozwa kwe sheria sio utashi, kwa kuwa Mramba hana hatia mpaka siku mahakama itakaposema... basi ni haki yake kutumikia jamii mpaka siku hiyo.

Siku ikifika akihukumiwa ataachia madaraka yote.
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.


Safi sana mkuu, mpaka sasa hana hatia ndio maana ni Mwakilishi wa Wananchi wa Jimbo la Rombo
 
Tetetetete. No comment. ILA KATIKA DUNIA HII TANZANIA TUPO SAYARI NYINGINE!!!!!!!!!!!!
 
hii ni assistance kwa Mramba ili apate hela za kuwarudishia waliojitolea kumdhamini alipowekwa selo.
Anyway mi nashindwa kusema kitu maana ktk nchi yenye watu 42m tunashindwa kupata mtu anayestahili kwenye nafasi km hiyo?? Hii nchi inafanya mambo ya ki¥@€§\{? Nashindwa kuelewa kabisa tatizo liko wapi.
only in tamzamia!
 
Hivi ni Mungwana yupi atawapereka mafisadi segerea. Bado mna tumaini kuwa iko siku huyo mungwana wenu atawapereka. Pole sana Tanzania.

Tanzania aksante kwa kutupa pole watanzania wenzako ni kweli tunaistahili.

Umeuliza nani atawapeleka mafisadi segerea I tell you tukisubiri wapelekwe basi tutasubiri milele na tutakufa bila kelele. Tusisubiri wapelekwe TUWAPELEKE SISI WENYEWE wananchi walia juani.

Umesikia F.M akisema kuwa nguvu ya ukabila sijui umkoa imetumika ni wazi kuwa ni sisi wenyewe ndio wa kulaumiwa na ni sisi wenyewe tunaokubali kuchezewa ngoma ya unyago au kumtoa mwali juu ya vichwa vyetu. SSIS kama wananchi tunaouwezo wa kubadili haya yote only if tutabadilika na kujua umuhimu wetu katika kuijenga Tanzania tuitakayo.

Kama wananchi wenyewe wa Kilimanjaro wameamua kumchagua fisadi kwa sababu zao binafi ni wazi kuwa something is wrong somewhere! Na waelewe kuwa katu si Rais, wala waziri mkuu atakayesimama na kutetea haki zao ni WAO WENYEWE.

Hivi ingekuwaje kama wao waKilimanjaro wangeshikamana na kupiga kwa Mramba kusimamishwa kama mgombea wa nafasi hiyo?
- Itakuwaje pale waTanzania tutakapokuwa na ujasiri wa kusimama barabarani na kuprotest kwa mafisadi kuwa huru kwa dhamana(pamoja na kuwa dhamana ni haki yao?)
- Itakuwaje kama waTanzania tutashikamana na kusema SASA BASI TUMECHOKA kuchezewa na uongozi huu unaolea mafisadi na kila aina ya UOZO?
- Itakuwaje tukisimamisha shughuli zetu japo kwa wiki moja na kutanda mabarabarani na mabango yetu tukidai HAKI zetu?

UWEZO U JUU YETU NI KUUVAA TU UJASIRI.
 
Great thinkers?!!!
Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameweza kueleza sababu za kisheria zinazomzuia Mh Mramba kuwa makamu mwenyekiti wa Tanrods - Kilimanjaro.
Wekeni hoja yenye nguvu ya kisheria na si maneno matupu.

Pundamilia nchi hii ukisubiri sababu za kisheria hutakaa upate hata moja hasa inaokuja kwenye suala la ufisadi kwani ni wazi mafisadi hawali wenyewe kiasi cha kuweza kushtakiwa na kukutwa na hatia kirahisi. Je ulishawahisikia kitu kinaitwa Obstruction of Justice?......... jiulize kwa nini kesi inakuwaga na mauza uza mara oh wakili wa mashtaka alikosea kuandika shtaka, mara makosa yalifanyika kwenye hati ya mashtaka- Upuuzi mtupu, wakili ambaye amesoma sheria miaka kadhaa na amepractise sheria kwa muda mrefu kiasi cha kuwezakuaminiwa na mshtaka wa kesi kubwa kama za akina Liyumba useme amekosea kuandika hati ya mashtaka??? Inakuingia akilini kweli ndugu yangu??

Mafisadi wanalindana na kwa vile hawali kipeke yao ni kama vile ma-finance managers wanavyokula na ma-CEO na EDs
 
jamani kweli kikwete anapambana na ufisadi?
huyu mtu anatuhumiwa ni mchafu...
awekwe pembeni watanzania hatuna imani naye


Aisee kumbe Kikwete alikuwepo kwenye huo mkutano!!! Du! kweli tunaelimu ya uraia
 
Back
Top Bottom