Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
- Thread starter
- #21
Wakuu,
Nadhani Tanzania tufike mahali sasa tuubadilishe huu utamaduni haramu wa kwamba kiongozi wa umma akishtakiwa kwa kosa ni lazima tusubirie hukumu ya mahakama ndiyo tukose nae imani, huu ni utaratibu mbovu ambao utaendelea kutubomoa.
Nadhani inabidi tufikie mahali tuifanye nchi yetu au viongozi wetu wawe na nidhamu kama wa nchi ya Japan.
Wakuu mnakumbuka mwaka jana yule waziri wa kilimo wa Japan aliyetuhumiwa tu kwa ufisadi akajinyonga? Leo hii nidhamu ya viongozi wetu ingekua ya kiwango hiki sidhani kama hadi leo akina mramba,Rostam,lowasa,karamagi,mgonja nk wangekua hai.Tungekua tunaomboleza tu,au ungeitishwa msiba wa kitaifa
Wananchi wa Rombo au wadau wa hilo jimbo kwa Ujumla wana haki ya kuanzisha mjadala,maandamano,hoja,petition na kuchukua kila aina ya hatua ya kumtaka Mtuh. Basil Pesambili Mramba ajiuzulu.Hii ni hatua muhimu kwa wananchi wa Rombo ktk kuonyesha chuki dhidi ya ufisadi na kupinga matakwa binafsi ya Mbunge wao aliyejineemesha na kulirudisha taifa letu hatua kadhaa nyuma huku wananchi wake wakikosa huduma bora za afya,elimu,njaa,miundombinu duni,kukosa usalama mpakani hasa eneo la Tarakea,huduma duni za maji hususani kwa wananchi wa ukanda wa chini maeneo ya kiraeni,olele.mengwe chini nk. Huyu ndiye mbunge aliyesamehe kodi makampuni ya kizungu pasipokuangalia kwa mapana mateso ya wananchi wake.
Suala la kwamba mapaka ahukumiweni sawa na ni haki yake kama Raia wa kawaida,lakini case yake ni different as public figure.Tena ni mtu ambaye ameshtakiwa na jamhuri ambapo wananchi wa rombo ni sehemu ya hiyo Jamhuri
Basil Pesambili Mramba,Step Down Noow!
Nadhani Tanzania tufike mahali sasa tuubadilishe huu utamaduni haramu wa kwamba kiongozi wa umma akishtakiwa kwa kosa ni lazima tusubirie hukumu ya mahakama ndiyo tukose nae imani, huu ni utaratibu mbovu ambao utaendelea kutubomoa.
Nadhani inabidi tufikie mahali tuifanye nchi yetu au viongozi wetu wawe na nidhamu kama wa nchi ya Japan.
Wakuu mnakumbuka mwaka jana yule waziri wa kilimo wa Japan aliyetuhumiwa tu kwa ufisadi akajinyonga? Leo hii nidhamu ya viongozi wetu ingekua ya kiwango hiki sidhani kama hadi leo akina mramba,Rostam,lowasa,karamagi,mgonja nk wangekua hai.Tungekua tunaomboleza tu,au ungeitishwa msiba wa kitaifa
Wananchi wa Rombo au wadau wa hilo jimbo kwa Ujumla wana haki ya kuanzisha mjadala,maandamano,hoja,petition na kuchukua kila aina ya hatua ya kumtaka Mtuh. Basil Pesambili Mramba ajiuzulu.Hii ni hatua muhimu kwa wananchi wa Rombo ktk kuonyesha chuki dhidi ya ufisadi na kupinga matakwa binafsi ya Mbunge wao aliyejineemesha na kulirudisha taifa letu hatua kadhaa nyuma huku wananchi wake wakikosa huduma bora za afya,elimu,njaa,miundombinu duni,kukosa usalama mpakani hasa eneo la Tarakea,huduma duni za maji hususani kwa wananchi wa ukanda wa chini maeneo ya kiraeni,olele.mengwe chini nk. Huyu ndiye mbunge aliyesamehe kodi makampuni ya kizungu pasipokuangalia kwa mapana mateso ya wananchi wake.
Suala la kwamba mapaka ahukumiweni sawa na ni haki yake kama Raia wa kawaida,lakini case yake ni different as public figure.Tena ni mtu ambaye ameshtakiwa na jamhuri ambapo wananchi wa rombo ni sehemu ya hiyo Jamhuri
Basil Pesambili Mramba,Step Down Noow!