Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Pale Tanga kuna shamba linaitwa Mruazi dairy farm na wao wanao Ngombe wazuri. Huyu mzungu anao Ngombe kwa mazingira ya pwani. Ni mbegu toka Brazil. Ngombe wake wanazaa majike tu

Matibula ni tanga sehemu gani alipo huyo mzungu?
 
Huyo mzungu unaweza kumpata kwenye ofisi ya Tanga fresh. IPO karibu na tanesco. Ukifika hapo ulizia ofisi yao. Ni mradi ambao wanazalisha Ngombe ambao wanahimili mazingira ya huku. Bei yao ni 1.4 mil mwenyewe mimba na akizaa ni Mtoto wa kike.
Kuna shamba LA serikali kule handeni linaitwa Mzeri pia lina Ngombe wazuri(halijulikani sana ingawa nishamba kubwa). Bei zao sio mbaya. 2013 ilikua 900000 mwenyewe mimba na 700000 hajapandishwa. Karibu name shamba hilo liko la Lowasa nasikia wanauza lakini sijanunua hapi
 
Huyo mzungu unaweza kumpata kwenye ofisi ya Tanga fresh. IPO karibu na tanesco. Ukifika hapo ulizia ofisi yao. Ni mradi ambao wanazalisha Ngombe ambao wanahimili mazingira ya huku. Bei yao ni 1.4 mil mwenyewe mimba na akizaa ni Mtoto wa kike.
Kuna shamba LA serikali kule handeni linaitwa Mzeri pia lina Ngombe wazuri(halijulikani sana ingawa nishamba kubwa). Bei zao sio mbaya. 2013 ilikua 900000 mwenyewe mimba na 700000 hajapandishwa. Karibu name shamba hilo liko la Lowasa nasikia wanauza lakini sijanunua hapi

Aksante sana Mkuu, hii ni taarifa nzuri
 
Huyo mzungu unaweza kumpata kwenye ofisi ya Tanga fresh. IPO karibu na tanesco. Ukifika hapo ulizia ofisi yao. Ni mradi ambao wanazalisha Ngombe ambao wanahimili mazingira ya huku. Bei yao ni 1.4 mil mwenyewe mimba na akizaa ni Mtoto wa kike.
Kuna shamba LA serikali kule handeni linaitwa Mzeri pia lina Ngombe wazuri(halijulikani sana ingawa nishamba kubwa). Bei zao sio mbaya. 2013 ilikua 900000 mwenyewe mimba na 700000 hajapandishwa. Karibu name shamba hilo liko la Lowasa nasikia wanauza lakini sijanunua hapi

Mkuu Matibula tunashukuru sana kwa kushare hizi data. Sorry unawafuga wa nyama pia au ni wa maziwa peke yake?
 
Mkuu Matibula tunashukuru sana kwa kushare hizi data. Sorry unawafuga wa nyama pia au ni wa maziwa peke yake?
Kule Mzeri Ranch niliwaona Boran lakini sikuwafuatilia. Nilisikia tu Kongwa waweza kupata Ngombe au mbegu sake AI
 
huko pwani rufiji wasukuma wanafuga ng'mbe nyingi tu na wanauza maziwa mengi sana kila siku kwa bei che,ikwiriri kuna soko kila ijumaa la mnada wa ngo'mbe.unaweza anzia hapo kununua na kufugia hapo maana wamekuali ahapo hapo.
 
Pale Ubungo baada ya sheli njia ya chuo kikuu pale darajani kuna boma hutumika kama soko la Ng'ombe hasa mitamba ya maziwa inatokea Meru arusha ambao ndio jamii ya wafugaji bora wa ziro gressing nchini kote. Ukifika unaweza kupata kujifunza kwa kuona mara nyingi pale wanauza mitamba iliyopandishwa tayari.

Pia kwa ushauri kama ng'ombe unawafuga kwa kuchunga hawa ng' ombe wa mziwa ni vema uhakikishe hawapiti au kukaribiana na ng'ombe wa kienyeji hawa wa kimasai vinginevyo watakufa kwa maradhi. Pia ni viziri kama ndio unaanza na huna uzoefu utafute daktari wa mifugo aliyekaribu nawe. Mwisho ngombe aina ya freshian yaani wenye mabaka meupe na meusi ni wazuri sana na ni common sana Arusha ila uwezo wao wa kukabiliana na magwanjwa hasa maeneo ya joto si wa kiwango kizuri. Kuna ng'ombe aina ya jesse wa maziwa wenye rangi nyekundu huwa ni wazuri kwa maeneo ya pwani.

All in all matibabu na chanjo ndio cha msingi ila ng'ombe wote wanasurvive kama tuu utawafuga sedentary na sio nomadic type yaani usiwaache wazurure porin na kurudi jioni ng'ombe wa maziwa atakufa mara moja labda liwe eneo umelifance kama ranch na apishani na mifugo ya watu wengine au kung'atwa ovyo na mbung'o au mbu.
 
Habari wana JF..Mimi natafuta Ng;ombe wa Maziwa {Heavy milkers} watatu na dume moja aina ya Frisian, Ayrshire au Jersey. Wawe majike mitamba watatu wenye mimba za kwanza kila mmoja. Mmoja awe na mimba ya miezi 6, wa pili miezi 4 na wa tatu miezi 2.Dumeliwe la umri wa kupanda miaka miwili na nusu au mitatu. Nipigie sasa hivi tuongee bei ya jumla na usafiri mpaka Tabora. Piga 0764 601903
 
Mwenye ufahamu wa hii kitu.ng'ombe wa kisasa wa maziwa yaani wanapatikana wapi, bei gan aliekaribia kuzaa na mambo mengine mengi naombwa mwenye ufahamu anipe ABC
search google ngombe wa maziwa page ya kwanza ya jamii forum wadau wamechambua vizuri hopefully hutotoka bure
 
Habari wanajamvi,
NIkiitizama fugo ya ng'ombe wa maziwa naona kama ni fugo nzuri na yenye kuweza kuongeza kipato lakini kila niingiapo humu jukwaani sioni hamasa ya wadau kuizungumzia.

Ningependa kufahamu ni wapi inapatikana mbegu nzuri ambayo inaweza kutoa walau 20ltrs kwa siku.

Lakini pia si mbaya kama atatokea mfugaji mmoja mzoefu wa ng'ombe akatueleza faida na changamoto za fugo ya ng'ombe wa maziwa.
Thnx!
 
Natumaini watafute watalaam wa mifugo ambao wanaweza kukushauri aina ya ng'ombe unaotakiwa kununua. Watalaam wanapatikana Wizaraya Kilimo.
 
Natumaini watafute watalaam wa mifugo ambao wanaweza kukushauri aina ya ng'ombe unaotakiwa kununua. Watalaam wanapatikana Wizaraya Kilimo.
thnx mkuu japo humu pia watakuepo wataalam na hata wafugaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom