Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Mwenye ufahamu wa hii kitu.ng'ombe wa kisasa wa maziwa yaani wanapatikana wapi, bei gan aliekaribia kuzaa na mambo mengine mengi naombwa mwenye ufahamu anipe ABC
 
Habarini GTs,
ningeomba mwenye ufahamu ni wapi naweza kupata/kununua ng'ombe bora mbegu za kisasa wa maziwa na wa nyama kwa hapa TZ anijulishe ninataka kuanza kufuga somewhere huko rufiji.
Natanguliza shukrani....
 
ndugu mwanahisabati, wewe uko wapi ili ushauriwe/uelekezwe maeneo unapoweza pata hao ng'ombe karibu na ulipo ili kupunguza gharama za usafiri.
Au huo umbali au ukaribu uwe considered from Rufiji...?
 
Ndio, mbuzi madume wakihasiwa mapema wanakuwa wakubwa sana. Vipi haki za wanyama umezingatia?

Ningeomba tu ifahamike wazi kuwa kumuhasi mnyama sio kukiuka "haki za wanyama" bali ni kitendo kinacholenga moja kati ya yafuatayo:-
1. Kumdhibiti asizalishe.
2. Kumfanya awe na nguvu hasa kwa wale wanyama kazi (draught animals)
3. Kumfanya anenepe kwa urahisi (easy fattening)
4. Na malengo mengine mengineyo

Kwa mbuzi kuna njia mbili rahisi za kumuhasi,
1. Kwa kutumia mpira maalum wa kuhasia (rubber ring) njia hii ni maalum kwa mbuzi wadogo
2. Kwa kutumia kifaa maalum (burdizzo pincers) kuibana hadi kuikata mirija inayopitisha mbegu (spermatic cords), njia hii hutumika kwa mbuzi wa umri wowote.

"Naeleza tu",
Asante
 
Bei zikoje? Pia uwezo wa kutoa maziwa ukoje?
bei inategemea na aina. Wewe ukiitaji fika hapo darajani utaona boma la ng'ombe bse biashara ya kitu ambacho hujakiona ni ngumu. Utoaji wa maziwa unategemea malisho na aina ya ng'ombe. Ukifika itakuwa vizuri.
 
bei inategemea na aina. Wewe ukiitaji fika hapo darajani utaona boma la ng'ombe bse biashara ya kitu ambacho hujakiona ni ngumu. Utoaji wa maziwa unategemea malisho na aina ya ng'ombe. Ukifika itakuwa vizuri.

Hauna nguvu za kushawishi biashara... nahitaji ila hauna haja ya wateja.
 
bei inategemea na aina. Wewe ukiitaji fika hapo darajani utaona boma la ng'ombe bse biashara ya kitu ambacho hujakiona ni ngumu. Utoaji wa maziwa unategemea malisho na aina ya ng'ombe. Ukifika itakuwa vizuri.

Unafikiri kila mtu yupo Dar?
 
bei inategemea na aina. Wewe ukiitaji fika hapo darajani utaona boma la ng'ombe bse biashara ya kitu ambacho hujakiona ni ngumu. Utoaji wa maziwa unategemea malisho na aina ya ng'ombe. Ukifika itakuwa vizuri.

Sema una Ng'ombe aina gani? Uzao wa ngapi? Wanatoka shamba gani? Unauza wakiwa na umri gani? Je wana mimba ama lah? Average wanatoa maziwa kiasi gani? Sio unaleta mambo ya ramli hapa akatoe litre 3 uniambie sijalisha vizuri...Biashara ya kitu hujakiona ndiyo ipoje? Watu wanaagiza mzigo China?
 
Sema una Ng'ombe aina gani? Uzao wa ngapi? Wanatoka shamba gani? Unauza wakiwa na umri gani? Je wana mimba ama lah? Average wanatoa maziwa kiasi gani? Sio unaleta mambo ya ramli hapa akatoe litre 3 uniambie sijalisha vizuri...Biashara ya kitu hujakiona ndiyo ipoje? Watu wanaagiza mzigo China?
Biashara yangu siyo ya mtandaoni. hapa unapewa tu taarifa kama ni muhitaji wa bidhaa utakuja kuwaona. Maelezo yote hayo ni specific kwa ng'ombe mmoja mmoja so siwezi kuyatoa hapa kiujumla jumla. Ukifika unapewa maelezo yote kwa kila ng'ombe. Ng'ombe wanaouzwa hapa wote wana mimba. Na mara nyingi tunapendelea kuleta ng'ombe ambao ni cross siyo pure kwasababu ng'ombe kama Freshen wanamaziwa sana lakini hawaimili hali ya hewa ya dar na maeneo mengi ya joto. Kwa wale ambao hawapo dar ni ngumu kuwaudumia labda wawe wanaitaji wengi ksababu ya cost za usafiri. Biashara ya wanyama ni tofauti na biashara ya bidhaa nyingine ndiyo maana nikasema ni vizuri kuona mwenyewe na kuiridhisha kwa kuuliza maswali yako yote eneo la tukio.
 
Biashara yangu siyo ya mtandaoni. hapa unapewa tu taarifa kama ni muhitaji wa bidhaa utakuja kuwaona. Maelezo yote hayo ni specific kwa ng'ombe mmoja mmoja so siwezi kuyatoa hapa kiujumla jumla. Ukifika unapewa maelezo yote kwa kila ng'ombe. Ng'ombe wanaouzwa hapa wote wana mimba. Na mara nyingi tunapendelea kuleta ng'ombe ambao ni cross siyo pure kwasababu ng'ombe kama Freshen wanamaziwa sana lakini hawaimili hali ya hewa ya dar na maeneo mengi ya joto. Kwa wale ambao hawapo dar ni ngumu kuwaudumia labda wawe wanaitaji wengi ksababu ya cost za usafiri. Biashara ya wanyama ni tofauti na biashara ya bidhaa nyingine ndiyo maana nikasema ni vizuri kuona mwenyewe na kuiridhisha kwa kuuliza maswali yako yote eneo la tukio.

Walisha niuzia ngombe alikuwa na matatiZo ya uZazi baada ya kujifungua akatoa na uZazi papo hapo hajamaliza muda mwingi akafa
 
Wadau nimepata interest ya kufuga ng'ombe wa Maziwa, naomba mwenye ufahamu aniambie ni aina gani ya ng'ombe wanaostawi maeneo ya Pwani yaani maeneo ya joto. Je wako ng'ombe ambao ni lazima wafugwe maeneo ya baridi? Naomba ushauri wenu.
 
Back
Top Bottom