Mi nadhani kwa gharama hizo ni sahihi kabisa.wanasiasa wanapenda kuketa ujinga wao kwenye taaluma za watu.
Tofali Bei gani?
Mchanga?
Ciment?
Kokoto?
Bati,rangi,mbao,nondo.
Usafili wa hivyo vifaa?
He mafundi wamelipwa kiasi gani? Kumbuka hapo mkandarasi anatumia gharama zake nyingi tu za ziada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.