Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)

Artificial intelligence

JF-Expert Member
Jan 28, 2021
1,262
2,191
Kiukweli inasikitisha sana mradi wa bwawa la Nyerere huenda usikamilike kabisa.

Mkurugenzi mkuu TANESCO, Mhe. Maharage Chande nilimsikia akisema kwa sasa wanaanza na kufunga mitambo kwa ajili ya umeme wa Gas ambao jumla utazalisha MW 1600.

Kwahiyo bwawa la Nyerere ambalo litazalisha MW 2115, hakuna uhakika wa lini utakamilika.

Hivi viwanda vya uchumi wa kati vitatumia huo wa Gas? Hii ndiyo Tanzania.
 
Na hiyo gas inayohitaji $30 milioni sijui hizo pesa zake wamezipata wapi, tunatakiwa tujue, na kama ni za mkopo zina masharti gani tuambiwe.

How I wish tungekuwa na kiongozi anayetumia akili yake hata kwa dakika moja tu kwa siku.
 
Propaganda zilipigwa mkajua mwendazake anasifa sana na ikulu kuna kiasi alikosea ila nia yake ya dhati kwenye nishati na miundo mbinu ili tujitegemee ilikuwa ni ya dhati kutoka moyoni mwake kwa kifo chake ilitakiwa tuhoji kwa nini mtu aanze ziara halafu afe ghafla.

Kwani walikua hawajampima kabla hajatoka chato. Pili kwa nini mkapa ,afe maalim, afe kijazi naye afe,jpm pia hlf afe msanifu madaraja hii chain ni moja na kuna watu walionganishwa ili kututengenezea picha kua walikwisha kwa corona na magonjwa ya moyo ila ukweli huwa hata kwa macho haufichiki.

Daima huyu jamaa huwa naamimi alikua sio pupet alisanua mambo Mengi. Saivi kwenye bunge naibu spika kasogezwa yule alieutetea mradi wa Bagamoyo ambao thamani yake ni sawa na bajeti yetu ya mwaka kikubwa wazingatie masharti yawe mazuri ila kwa hiyo hela nchi nzima imenunuliwa.

Huo mradi utakamilika ila ni kwa mazengwe sana na tuzidi kupiga kelele.
 
Sultan Majid Bin Said (the first ruler of Zanzibar) initiated their rule to Tanganyikans by their archipelago of Zanzibar! Since then Tanganyikans became Ruled by Oman through the offices secretly set in Zanzibar
 
Back
Top Bottom