MmasaiHalisi
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 192
- 23
Wana JF kama mnakumbuka ule mradi wa mji wa kisasa maeneo ya makondeko mpaka kibamba ambao tulitangaziwa na waziri wa aridhi wa kipindi hicho John Chiligati mpaka sasa hatuelewi mradi huo umeishia wapi au ni blaa blaa za ccm makazi bora kwa kila mtz?