Mr. M. R. J. Sabodo atoa tahadhari

Mnyonywaji

Member
Feb 6, 2008
55
2
Wanajamii,

Leo kwenye gazeti la Daily News, ukurasa wa mbele Mr. M. R. J. SABODO ameweka ujumbe kwa wa Tanzania kuwatahadharisha kuhusu Nephew wake, ujumbe wenyewe ni kama hivi:


AUNALI AKBARALI KASSAM
(A nephew to M. R. J. SABODO)

If he (AUNALI AKBARALI KASSAM) takes any money from anybody, I should not be held responsible for his debt. He has recently acquired the ‘A TEA SHOP’ along corner of Morogoro Rd / Jamhuri Street and he has got a spare parts shop known as URAFIKI AGENCY SHOP.

NB: I have got very bad experience with him regarding unpaid cheques.

M. R. J. SABODO


Kaeni chonjo.
 
Mzee Sabodo alifanya makosa ya kuitangaza will yake magazetini huku akimrithisha huyo niece wake mamilioni. Hata kabla hajafa, niece anajiuliza jee ni mpaka uncle afe ndipo aanze kuishi kimilionea?. Kijana kaamua huna haja kusubiri bali kaanza kutumbua na kutanua huku bili zikienda kwa uncle ikiwa ni sehemu halali ya urithi wake!.
P
 
Wanajamii,

Leo kwenye gazeti la Daily News, ukurasa wa mbele Mr. M. R. J. SABODO ameweka ujumbe kwa wa Tanzania kuwatahadharisha kuhusu Nephew wake, ujumbe wenyewe ni kama hivi:

Mzee huyu huwa analipia kurasa nzima kuandika maoni yake sijui ni pesa iliyokosa matumizi au mbwembwe za matumizi..i mean kitu kama hii angeweza kudeal na ndugu yake tu wakamalizana hata hao wanaokwenda kumdai yeye badala ya huyo mkoi wake wanajua si sawa na hakuna ground za kisheria. Kwa issue ya gazeti la leo wanasheria jipangeni mkaongee na Unali Akbalali kassam mnaweza kula hela za Sabodo kwa defamation.
 
Mzee Sabodo alifanya makosa ya kuitangaza will yake magazetini huku akimrithisha huyo niece wake mamilioni. Hata kama hajafa, niece anajiuliza jee ni mpaka uncle afe ndipo aanze kuishi kimilionea?. Kijana kaamua huna haja kusubiri bali kaanza kutumbua na kutanua huku bili zikienda kwa uncle ikiwa ni sehemu halali ya urithi wake.

Mkuu mimi nina maoni tofauti.

Huyu mzee alichokifanya ndicho wastaarabu wenye uelewa wanavyofanya. Huyo kijana ndiyo hopeless kabisa. Sobodo anaweza hata akaamua ku-revoke hiyo will.

Tatizo letu wengi kinachotushinda ni kuwa wa wazi (transparent). Mzee anaweka kila kitu hadharani watu waelewe kusudi kesho na kesho kutwa yasikukute.

Hatujazoea kuwa wa wazi.
 
...Mkuu Masanja, Nakusalimia. Uwazi wa Will ya mtu sawa, lakini gazetini mkuu na mtu bado yupo hai???? Si angeweza kumalizana na Wakili wake tu halafu siku yakimkuta ya kumkuta ndipo Wakili anaitoa?? Gazetini???
 
...Mkuu Masanja, Nakusalimia. Uwazi wa Will ya mtu sawa, lakini gazetini mkuu na mtu bado yupo hai???? Si angeweza kumalizana na Wakili wake tu halafu siku yakimkuta ya kumkuta ndipo Wakili anaitoa?? Gazetini???

What you said is one of the approaches, but there are number of options including the one he took.
 
AUNALI AKBARALI KASSAM
(A nephew to M. R. J. SABODO)

If he (AUNALI AKBARALI KASSAM) takes any money from anybody, I should not be held responsible for his debt. He has recently acquired the ‘A TEA SHOP’ along corner of Morogoro Rd / Jamhuri Street and he has got a spare parts shop known as URAFIKI AGENCY SHOP.

NB: I have got very bad experience with him regarding unpaid cheques.

M. R. J. SABODO


Kaeni chonjo.

Nadhani hii ingelikuwa ya busara zaidi ...:

If anyone takes any money from anybody else without my prior notice, I should not be held responsible for his/her debt.

... kuliko kumtaja mtu kwa jina.
 
Nadhani hii ingelikuwa ya busara zaidi ...:

If anyone takes any money from anybody else without my prior notice, I should not be held responsible for his/her debt.

... kuliko kumtaja mtu kwa jina.

Hiyo version yako is not specific, inaweza kumzuia hata mkewe kufanya transaction halali, mbali ya wafanyakazi wake.
Alichofanya ni sawasawa kabisa kwahiyo kila anayehusika inabidi achukue tahadhari kwa huyo mtajwa.
After all hela za huyu Mzee watu wanazitafuna sana na nyingine hata hajui.
 
Hiyo version yako is not specific, inaweza kumzuia hata mkewe kufanya transaction halali, mbali ya wafanyakazi wake.
Alichofanya ni sawasawa kabisa kwahiyo kila anayehusika inabidi achukue tahadhari kwa huyo mtajwa.
After all hela za huyu Mzee watu wanazitafuna sana na nyingine hata hajui.

Anaweza akaweka exceptions, eg, save my wife, ....
 
Ha ha ha haaa hapo awali alishawahi kuweka will yake katika Daily news... kuwa wake zake wawili alishaachana nao (alishawa-divorce) kwa mujibu wa sharia... kwa hiyo nadhani haishi na mke huyu... Ha ha ha haaa(NAKIRI NAMPENDA SANA BW.SABODO):)
 
Ha ha ha haaa hapo awali alishawahi kuweka will yake katika Daily news... kuwa wake zake wawili alishaachana nao (alishawa-divorce) kwa mujibu wa sharia... kwa hiyo nadhani haishi na mke huyu... Ha ha ha haaa(NAKIRI NAMPENDA SANA BW.SABODO):)

Tusker Bariiiidi,

Ina maana sasa anaishi kama bachela?

Je ni nani anayemliwaza?
 
Mzee Sabodo alifanya makosa ya kuitangaza will yake magazetini huku akimrithisha huyo niece wake mamilioni. Hata kabla hajafa, niece anajiuliza jee ni mpaka uncle afe ndipo aanze kuishi kimilionea?. Kijana kaamua huna haja kusubiri bali kaanza kutumbua na kutanua huku bili zikienda kwa uncle ikiwa ni sehemu halali ya urithi wake!.
P
BILIONEA SABODO AFARIKI DUNIA..

Bilionea na Mchumi maarufu nchini, Mustafa Jaffer Sabodo amefariki Dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwakwe, Masaki jijini Dar es Salaam.

"Mzee amefariki leo alfajiri akiwa nyumbani. Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa katika makaburi yaliyoko mtaa wa Bibi Titi Mohamedi karibu na CBE," amesema Danstan.

Marehemu Sabado alizaliwa mkoani Lindi na alikuwa akifanya biashara katika nchi za Ufaransa, India, Kenya, Sudan, Nigeria, Zimbabwe na Tanzania.

Atakumbukwa kwa mchango wake ulioanzisha Mwalimu Nyerere Foundation National Lottery alipotoa msaada wa Sh milioni 800. Alihusika katika utoaji wa misaada kadhaa iliyohusisha kilimo, ujenzi wa visima na kusaidia wenye uhitaji.
Sabodo atazikwa leo saa 4:30 usiku.
Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un.
“We surely belong to Allah and to Him we shall return”
"Sisi sote ni wa Mola, na kwake tutarejea".

Paskali pia anakuaga!.
RIP Jaffar Sabodo.
 P
 
Back
Top Bottom