Kampuni moja ya jijini ilimtuma dereva wake kwenda airport kumfuata mchina mmoja ambae anakuja kufanya kazi katika kampuni hiyo.
Dereva alipata maagizo pamoja na karatasi inayoonyesha LOO (jina la mchina)na kuambiwa ndege anayokuja nayo mchina huyo ili wakati watu wakitoka aionyeshe. Dereva alifanya kama alivyoambiwa lakini kwa muda mrefu hakumuona mtu kuja kwake isipokua aliona mchina mmoja akizagaa zagaa.
Yule mchina nae kwa muda alimtafuta anaekuja kumfuata bila mafanikio ndipo alipoamua kumfuata huyu dereva na kumuuliza:-
Mchina : are you here for mr LOO ?
driver : Yes
Mchina : Stupid all the time i thought you had come to take James Bond.
(aliigeuza karatasi juu chini ikawa inasoma 007 badala ya LOO)
Dereva alipata maagizo pamoja na karatasi inayoonyesha LOO (jina la mchina)na kuambiwa ndege anayokuja nayo mchina huyo ili wakati watu wakitoka aionyeshe. Dereva alifanya kama alivyoambiwa lakini kwa muda mrefu hakumuona mtu kuja kwake isipokua aliona mchina mmoja akizagaa zagaa.
Yule mchina nae kwa muda alimtafuta anaekuja kumfuata bila mafanikio ndipo alipoamua kumfuata huyu dereva na kumuuliza:-
Mchina : are you here for mr LOO ?
driver : Yes
Mchina : Stupid all the time i thought you had come to take James Bond.
(aliigeuza karatasi juu chini ikawa inasoma 007 badala ya LOO)