data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,137
- 22,709
Hahahaaa.....Tatizo la kiba huwa hanaga swaga kwenye video kabisaaa,kuna ile staili yake anabinua midomo km beberu sijui ndo ndo kitu gani ile.....
Hahahaaa.....Tatizo la kiba huwa hanaga swaga kwenye video kabisaaa,kuna ile staili yake anabinua midomo km beberu sijui ndo ndo kitu gani ile.....
ha ha mti wenye matunda hauogopwi kupigwa mawemshindi ni mtu mwenye ndoto na hakubali kushindwa :- ''your signature''
I lavu yuuuu at your own risk...... ila ukipigwa mitama mtaani ...........
ha ha mti wenye matunda hauogopwi kupigwa mawe
Hiii ngoma Kali kwanzia audio mpaka kichupa, byser is really back. Inanikumbusha the era of tabasamu, Braza kiba nae kaua kwa chorus ya hatari..
watu bhanaTatizo la kiba huwa hanaga swaga kwenye video kabisaaa,kuna ile staili yake anabinua midomo km beberu sijui ndo ndo kitu gani ile.....
Audio Kali, blue kaboa sana ile mipiko yake, kaleta ubrazamen wa kale.blue kazingua kitu kimoja tu, kujikandika piko sijui ni superblack...Kaharibu muonekano!