Watu tunatofautiana masikio aisee..Binafsi naona Kiba kafanya poaVIDEO nzuri.... Audio hamna kitu... namkumbuka sana blue wa 2003-2009...
sahizi blue ameamua kuwa wa kawaida.... haya sasa na kiba kapiga chorus mbaya kabisa kuwahi kutokea...
Mwambie Basi awe anabadili hata nguo....Watu tunatofautiana masikio aisee..Binafsi naona Kiba kafanya poa
Tatizo la kiba huwa hanaga swaga kwenye video kabisaaa,kuna ile staili yake anabinua midomo km beberu sijui ndo ndo kitu gani ile.....Kibakuli alilazimshwa kufanya video nn
Tatizo la kiba huwa hanaga swaga kwenye video kabisaaa,kuna ile staili yake anabinua midomo km beberu sijui ndo ndo kitu gani ile.....Kibakuli alilazimshwa kufanya video nn
Hiii ngoma Kali kwanzia audio mpaka kichupa, byser is really back. Inanikumbusha the era of tabasamu, Braza kiba nae kaua kwa chorus ya hatari..
Kabisa mkuu, he nailed itWatu tunatofautiana masikio aisee..Binafsi naona Kiba kafanya poa
Teh teh..Kwani tupo kwenye maonyesho ya mavazi ama..Kapiga chorus Mororo kabisaMwambie Basi awe anabadili hata nguo....
Weeeeee kama sio mwanga basi mchawi wa maendeleo ya watu...toa yako basi tuoneeeVIDEO nzuri.... Audio hamna kitu... namkumbuka sana blue wa 2003-2009...
sahizi blue ameamua kuwa wa kawaida.... haya sasa na kiba kapiga chorus mbaya kabisa kuwahi kutokea...
ThumbsupWeeeeee kama sio mwanga basi mchawi wa maendeleo ya watu...toa yako basi tuoneee
In a reflect true theme ya trackNaungana rasmi na wale wanaoponda tabia ya waafrica kuchukua colored girls in their videos....Too much sasa
Kuna namna waliifikiria kichwani wakaileta idea kwenye vitendo ikakataa ila wakaogopa kuambiana ukweli wakaipeleka kiaibuaibu mwisho imekuwa ya kawaida maana kiba kaamua kuifanya ya kawaida tu sio sanaaa.Blue anajitahidi ila freestyle verse asipende sana kuzihamishia kwenye kazi kabisa akubali kufikiria sana zaidi kabla ya kutoa wimbo nje ya hapo nyingi zitakuwa big g hata kabla ya show nyimbo imechuja#tuwakosoewajifunze#Imefanana na taarabu..Ali kiba ndio ameimba kama Isha Mashauzi