Mr. Blue ahoji! Diamond platnums ana nini?

Mr. Blue ahoji! Diamond platnums ana nini?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,899
Reaction score
37,696
Inatoka: ULIMWENGU USIOONEKANA


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Blue.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


MR. BLUE AHOJI! DIAMOND PLATNUMS ANA TATIZO GANI?



[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Diamond na Naj.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Katika kipindi cha SPORAH SHOW kilicho pita wageni waalikwa walikuwa msanii Mr. Blue, Naj na King Sultan kutoka Zanzibar. Moja kati ya maswali ambayo Blue aliulizwa ni pamoja na
Sporah:Ulijisikiaje uliposikia Diamond ametoka na Najma?


Mr. Blue : Nilijiuliza Diamond ana tatizo gani? Kwa Wema, Naj naye; Ukweli nilipo ona huyu Diamond! Ametoka na huyu
( Najma ) nilishangaa! Kushangaa sikushangaa kwamba Najma amekuwa na Diamond kwa sababu huyu ( Najma) tuligombana so lazima atakuwa na mwanaume. Haijalishi ni Diamond ni nani ni nani, u know? Lakini nilijiuliza kwa Diamond kwa nini afuatilia watu ambao nimepitia?!! Lakini At the end of the day, nikampigia simu! Nikamwambia bana tunaweza tukaonana, lakini hakutaka tuoanane, nilitaka nimuulize tu hilo suala


Swali: KWA HIYO ULIMPIGIA PIA ULIPOSIKIA YUPO NA WEMA?
BLUE: No! tulikuwa tunakutana yupo na Wema kabisa!
Are you serious?
BLUE: Yeah serious kabisa! Vipi Diamond , Wema and all that?
KWANINI ULITAKA UONANE NAYE BAADA YA KUSIKIA YUPO NA NAJ ?
BLUE!( Kwa ukali na msisitizo); Nilitaka nijue kwa nini msichana ambaye nipo naye,… huyu wa pili sasa! Halafu niliona kwenye gazeti halafu at the end of the day its all goodness

Nilimpigia simu na kuomba tukutane naye, lakini akapotezea kukutana na mimi. Simchukii Diamond, Diamond ni kama ndugu yangu kabisa, unajua mama yangu na mama Diamond wamecheza pamoja . Diamond ni rafiki yangu kabisa! But sikufurahishwa kabisa na yeye kuwa anatoka na wasichana ambao nimeshatoka nao tayari.
Kwa ufupi Blue anacho kisema ni kwamba, hakupendezwa kabisa na kitendo cha Diamond kuwa anatoka na wasichana ambao yeye Blue ameshatoka nao. Suala hili lilimshangaza sana na akaamua kumpigia simu Diamond kumuomba wakutane ili amuulize kwa nini anafanya hivyo!
 
Huyu Blue kabaki kupakatwa maana mateja wengi huishia huko!
 
hahahahaha watu hamjamwelewa blue,,but inaitaji uwe wa mjini kusoma anachomaanisha kuna message kubwa sana hapo,,domo kawa tishio sasa sijui izo story ni kweli ama nini ..
 
Blue na wivu wa kike, wewe demu muishatemana gubu la nini?
 
hahahahaha watu hamjamwelewa blue,,but inaitaji uwe wa mjini kusoma anachomaanisha kuna message kubwa sana hapo,,domo kawa tishio sasa sijui izo story ni kweli ama nini ..
...eeeh tishio katika nini?
ila mie naona blu wa sasa ana maisha mazuri kuliko yule aliyekuwa juu kwenye sanaa.
kwa kukaa pale BoB kuvuta bangi siku nzima?
 
...eeeh tishio katika nini?

kwa kukaa pale BoB kuvuta bangi siku nzima?

we mgeni nini na mmanyema? watu wanaogopa ata kumshika mkono siku izi..yani ukikaa vijiwe vya wasanii kuna story nyingi..

blue na toZ awakai bure pale wanaingiza mkwanja,siunajua pesa tamu ata Iwe inanuka.
 
we mgeni nini na mmanyema? watu wanaogopa ata kumshika mkono siku izi..yani ukikaa vijiwe vya wasanii kuna story nyingi..

blue na toZ awakai bure pale wanaingiza mkwanja,siunajua pesa tamu ata Iwe inanuka.
mkuu mie niwe mkweli ujue..ila nikipita pale BoB naona wana wamechill..hebu nitonye kamanda..kuna nini kwny mkono wa mmanyema?
 
Back
Top Bottom