Msanii wa muziki Mrisho Mpoto (Mjomba) amesema mwaka 2015 amesema atagombea ubunge bila kutaja CHAMA WALA JIMBO ATAKALO GOMBEA ameyasema hayo kwenye kipindi cha tuongee cha star tv leo.
Msanii wa musiki wa kiasili mrisho (Mjomba) amesema mwaka 2015 amesema atagombea ubunge bila kutaja CHAMA WALA JIMBO ATAKALO GOMBEA ameyasema hayo kwenye kipindi cha tuongee cha star tv leo.
Nia yake ni njema, lakini nimuonavyo! hakawii kuwa wa hisani ya watu wa Marekani. kwa wale tu waliouelewa utenzi wake wa mjomba mjomba ndio wataelewa nimesema nini.
Karibu kwenye sihasa za bongo! Pengine utaleta changamoto huko utakapogombea, nakupa bg up kwa kutangaza nia, kuwa makini ni muda wa vyama visivyo na ishu kukutaka.
We jamaa siku hizi umekosa kabisa mawazo huru, kila kitu CC chama; au ndio anayehesabu umetupiamo sredi ngapi kwa ajili ya malipo pale Lumumba.
Kama Jangiri ameweza kuwa katibu mkuu wa Chama sidhani kama kuna mtu anaogopa kuwa mwanasiasa nowadays, ila tu wajiangalie wasijekuangukia pua kama alivyoangukia pua Nape Nnauye pale Ubungo tena mapema asubuuuhi kabisa