Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
Halmashauri Kuu ya CCM Yamteua Rodrick Mpogolo kuwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM upande wa Bara.
Halmashauri Kuu ya CCM imemteua aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato na baadaye mshauri wa Rais masuala ya siasa, Bwana Rodrick Mpogolo kuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho upande wa Bara, akichukua nafasi ya Rajab Luhwavi aliyeteuliwa kuwa Balozi.
Halmashauri Kuu ya CCM imemteua aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato na baadaye mshauri wa Rais masuala ya siasa, Bwana Rodrick Mpogolo kuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho upande wa Bara, akichukua nafasi ya Rajab Luhwavi aliyeteuliwa kuwa Balozi.