Mpogolo Naibu Katibu Mkuu CCM Bara

Mpogolo Naibu Katibu Mkuu CCM Bara

Kweli siwafahamu. Na kama siwafahamu,Watanzania pia hawawafahamu hawa watu.
Mkuu wa TRA akichaguliwa,wewe utamfahamu vipi? Unless wewe ni mhasibu or something.
Mimi nilikuwa Butiama miaka miwili na nusu. During that time Polepole was making a name for himself in Dar.

Mkuu Andrew heshima kwako na Shikamoo tena.
Mhe Rais hajakosea na amelenga pahala pake.
Humphrey Polepole namfahamu vizuri sana, Humphrey Polepole ni mtu wa watu wa chini, inawezekana kwa sababu hiyo ndio maana humfahamu kwa kweli sio rahisi kumjua ila Mzee Butiku anamfahamu ingawa naamini kamjua miaka isiyozidi saba, mimi namjua tangu miaka 20 iliyopita.

Inshort Humphrey Polepole ataendelea kupaa tu kwa sababu hakuna anachoprittend zaidi kusema fact toka moyoni and actually ndio maisha anayoyajua Humphrey.

Kila la kheri Humphrey
 
Hivi polepole ataiweza hii???Mmmh kupakaziwa zigo si kudogo,.
Ngoja tuone huyu mtu aliyejijengea heshima wakati wa maoni ns jaji.
 
haya ma thread ya ccm kuteuana yangeunganishwa kwenye uzi mmoja,,yamekuwa mauchafu sasa.
Hujalazimishwa kupita mkuu,usipoangalia kwa tabia hizo za kuchukia vitu visivyoepukika utapata stroke.Humu kuna thread na viji hashtag vya Benny zaidi 1000,sasa mtu achukie akiviona si anaitafuta tu muhimbili
 
haya ma thread ya ccm kuteuana yangeunganishwa kwenye uzi mmoja,,yamekuwa mauchafu sasa.
Hujalazimishwa kupita mkuu,usipoangalia kwa tabia hizo za kuchukia vitu visivyoepukika utapata stroke.Humu kuna thread na viji hashtag vya Benny zaidi 1000,sasa mtu achukie akiviona si anaitafuta tu muhimbili
 
Mkuu Andrew heshima kwako na Shikamoo tena.
Mhe Rais hajakosea na amelenga pahala pake.
Humphrey Polepole namfahamu vizuri sana, Humphrey Polepole ni mtu wa watu wa chini, inawezekana kwa sababu hiyo ndio maana humfahamu kwa kweli sio rahisi kumjua ila Mzee Butiku anamfahamu ingawa naamini kamjua miaka isiyozidi saba, mimi namjua tangu miaka 20 iliyopita.

Inshort Humphrey Polepole ataendelea kupaa tu kwa sababu hakuna anachoprittend zaidi kusema fact toka moyoni and actually ndio maisha anayoyajua Humphrey.

Kila la kheri Humphrey
Kutokana na statemement yako ya mwisho hapo kuhusu Polepole kusema yaliyo moyoni, nimefikia hatamu ya kukubaliana na mwana JF mmoja humu aliposema kuwa Polepole ni Vuta Nkuvute, Mzee Tupatupa. Tizama neno Polepole na Tupatupa yalivyokuwa yana uwiano wa kujirejea maneno, hata Vuta Nkuvute pia halijapishana mbali!
 
Japo simfahamu,ila anaonekana hiyo kazi haiwezi,wangemwacha kwenye ukuu wa wilaya tu,
wangempa nchimbi,
tunataka watu sharp,sio kutuletee mtu amelala lala,
mtashindwa uchaguzi ujao,,oooh.
@elizabetBonifasi mbona huwashauri hawa watu?
 
ben saa8 jaman,make nimeona hata makada waandamz wako kimya sana kunani,achen masuala ya mafisiem haya 2fait kuhusu huyu jamaa! inauma kuona m2 hayuko hewan ghafla vp kama ndo angalikuwa ndguyo ungejisikiaje!
 
Kutokana na statemement yako ya mwisho hapo kuhusu Polepole kusema yaliyo moyoni, nimefikia hatamu ya kukubaliana na mwana JF mmoja humu aliposema kuwa Polepole ni Vuta Nkuvute, Mzee Tupatupa. Tizama neno Polepole na Tupatupa yalivyokuwa yana uwiano wa kujirejea maneno, hata Vuta Nkuvute pia halijapishana mbali!
mkuu kuwa muangalifu utakula ban,watu humu hawatajani majina wazi wazi
 
Nazipenda sana teuzi za Magufuli:akiwachagua mawaziri,akimchagua Waziri,akiwachagua wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,akimchagua nani,usually nawafahamu kwa mara ya kwanza baada ya wa wao kuchaguliwa.
Sasa itabidi nitafute kujua Humphrey Polepole ni nani.
[Sina TV in case utauliza kwanini siwafahamu]
Humphrey polepole itikadi na uenezi ccm oye
 
mkuu kuwa muangalifu utakula ban,watu humu hawatajani majina wazi wazi[/QUOTE
Kuna member humu alikwishamtaja, mimi natilia mkazo tu! Ahsante by the way kwa ukumbusho. Na hongera kwake kama ni kweli!
 
Back
Top Bottom