Mpira ni strategy and plan ila Pablo hana

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Tusitafute plan kocha hana mbinu ya kusoma mchezo,maana wachezaji ndo wanaopokea maelekezo kwa Kocha.

Baada ya mechi ya jana Francis Baraza alisema, tulipoingia uwanjani tulijua Simba wana mpira mwingi wa kuanzisha, na wakaingia na viungo wengi, mbinu yao ikawa kuwadhiti kipindi cha kwanza na walijua kipindi cha pili watafunguka halafu tufanye counter attack maana na wao watakuwa wamefunguka kushambulia au watapunguza viungo kuingiza mastraika.

Sasa Pablo ndo huyo, Mzamiru na Kapombe walishapoteza mipira mingi na hafanyi sub, sub aliyofanya anamwingiza Bocco kweli?.

Najua Kocha atatimuliwa lakini Matola naye asepe inawezekana ndo kirusi kubwa. Kama kila msimu unabadilisha benchi la ufundi kwanini Matola naye anabaki?

Kwenye mechi zote tulizocheza penati 7 Simba wanafunga 2 tu huko kwenye mazoezi wanafanya nini? Hakuna cross za maana zinagonga maadui hata kabla ya kufika kwenye maeneo hatarishi. Fouls ndo usiseme.

Simba wamejisahau na kujiona ni wakubwa hata mechi za kimataifa msimu huu hamna waliyoshinda ugenini na tumefika hapa kwa aggregate.

Wachezaji wote wana papara kila mtu ana presha akipata mpira anabutua tu, dribble za kijinga za kutafuta sifa kucheza na mashabiki halafu matokeo sifuri.

Ni hayo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlisema kocha ana mfumo wa kushambulia Kama NYUKI
IMG-20220126-WA0013.jpg
 
Mnampa kocha lawama za bure, viongozi wa simba hawana vision. Timu kama simba ilitakiwa kuwa na malengo mafupi na malengo marefu.

Malengo mafupi ni kusajili wachezaji bora na kuwa na timu ya ushindani,malengo ya muda mrefu ni kutengeneza timu bora ya vijana. Kuwa na uwanja na vitega uchumi.

Kwa miaka 4 tuliyokuwa na timu bora tumepandisha wachezaji wangapi toka timu b, hakuna sababu hatukuwekeza kwenye timu ya vijana.Swala la uwanja limepata nguvu baada ya viongozi wetu kuletewa fujo.

Tuna jengo limekaa sehemu nzuri lakini tumeshindwa kuliendeleza mpaka tumwombe mwekezaji.Ukimwondoa magori viongozi waliobaki hamna kitu
 
Katoka Madrid huyo ww.
Tusitafute plan kocha hana mbinu ya kusoma mchezo,maana wachezaji ndo wanaopokea maelekezo kwa Kocha.

Baada ya mechi ya jana Francis Baraza alisema, tulipoingia uwanjani tulijua Simba wana mpira mwingi wa kuanzisha, na wakaingia na viungo wengi, mbinu yao ikawa kuwadhiti kipindi cha kwanza na walijua kipindi cha pili watafunguka halafu tufanye counter attack maana na wao watakuwa wamefunguka kushambulia au watapunguza viungo kuingiza mastraika.

Sasa Pablo ndo huyo, Mzamiru na Kapombe walishapoteza mipira mingi na hafanyi sub, sub aliyofanya anamwingiza Bocco kweli?.

Najua Kocha atatimuliwa lakini Matola naye asepe inawezekana ndo kirusi kubwa. Kama kila msimu unabadilisha benchi la ufundi kwanini Matola naye anabaki?

Kwenye mechi zote tulizocheza penati 7 Simba wanafunga 2 tu huko kwenye mazoezi wanafanya nini? Hakuna cross za maana zinagonga maadui hata kabla ya kufika kwenye maeneo hatarishi. Fouls ndo usiseme.

Simba wamejisahau na kujiona ni wakubwa hata mechi za kimataifa msimu huu hamna waliyoshinda ugenini na tumefika hapa kwa aggregate.

Wachezaji wote wana papara kila mtu ana presha akipata mpira anabutua tu, dribble za kijinga za kutafuta sifa kucheza na mashabiki halafu matokeo sifuri.

Ni hayo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom