Mpinzani wa Mbowe ajitoa


Ukimaliza kakojoe ulale baada ya kusoma katiba unasema imeelezwa nanann mtaje
 
Soon atatangaza kuhamia ACT,was just a plan ya kutoa political mileage kwa ACT itayoendana na propaganda hasi dhidi ya uongozi wa CHADEMA,tatzo sio katiba,bali kumchafua Mbowe na safu yake kwani CCM haitaki waendelee kuongoza,bali vibaraka wao!!
 
kwanza mtu mwenyewe anaitwa kansa wazazi wake hawakukosea kumwita kansa asiingize kansa kwenye chama chetu.
 
Msaliti huyu anatumiwa na Maintarahamwe kupitia kitengo chao cha msajili wa vyama.
 
Huyu jamaa ni kichaa kwelikweli! Hats hivyo kansa ilishamtafuna mpaka kwenye ubongo!

heheeeeèe matusi sio suluhisho suala yuko sahihi au kakosea kwa mujibu wa katiba ya chadema
 
Ha!ha!haa! Keshasngalia mwenendo wa chaguzi zilizopita kaona itakua aibu ya mwaka ndo maana kakimbia.
 
Wameona wajumbe wa mkutano mkuu hawanunuliki. Wakaogopa aibu na kujitoa kusudi isiwe katika kumbukumbu kuwa alipata zero.
 
Kule nyumbani Tabora kuna mashamba mengi ya tumbaku hivyo ni vyema angejikita zaidi katika tumbaku na hizi harakati awachie watu wanaojua, sasa mpinzani gani unajitoa kiholela? Si ndio hawa mizigo ya chama.
 
Nimempenda bila gharama Mh. Mtukufu Kansa. Loh! huo ndo uanaume. Mwanaume wa kweli, analamba hiyo mihela, anatoka nje anajitutumua, aoneshe kuwa yupo siriasi, halafu akiisha hakikisha ameficha uchagoni mihela anatokeza nje tena; anawaambia walio mtuma; Funga domo lako au nkutangaze.
Maccm hoi, tena yamepata BARIDIIIIII. Tangu mmejaribu kwa kumtumia ZZK na kampuni zake mkashindwa, mlidhani mtaleta mpasuko kwa kumtumia mtu mwenye kansa ya uongozi mtaweza???
Bahati yenu ni kuwa, huyo Kansa sidhani mlimpa zaidi ya laki moja. Ni ile fomu tu mli mnunulia. Mh. Mwingulu, Mh. Massatu naomba kuwakumbushia kuwa, Neno la mwanaume lisipotimia tunasema mwanaume huyo ni MZUSHI. Naona Chadema bado inachanja mbuga. 2015 is just here. Na kile kifo cha ghafla cha CDM ni kama ndoto. Mnatapatapa mpaka kutumia mitego mibovu yenye Kansa ya Tabora. Ni mawazo yangu tu jamani msinichukie miye muwaza hovyo
 
hapo ndipo tunapoona huo mchezo wao walioupanga wa kitoto, du kweli kansa amewaambukiza kansa wadau wake ccm/act.
 
Kasoma alama za nyakati akaona ajitoe tu maana anaweza asipate hata kura moja.
Hivi huyu Kansa yeye kaomba kugombea sasa suala la Mbowe linamsumbuaje kansa? Sasa ni bora asiende kwa msajili bali aende mahakamani kabisa. Damn kansa!
 
Bado wenyeviti wawili wa mikoa waondoke hiyo single ife rasmi
 
Dawa ya mpumbavu ni kumpuuza tu ataona aibu mwenyewe. Hajachukua round kajidhihirisha kuwa anatumika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…