Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
lazima akimbieMambo ni magumu kwa Chama tawala. Jioni ya Leo Chairman of Electral commission amekimbia stage ya Journalist s baada ya matokeo walioshika mkononi yako tofauti !!
lazima akimbieMambo ni magumu kwa Chama tawala. Jioni ya Leo Chairman of Electral commission amekimbia stage ya Journalist s baada ya matokeo walioshika mkononi yako tofauti !!
MainiMamluki ndio nini
Hujui unaongea niniIssue siyo mpinzani kushinda. Issue ni haki itendeke. CCM wangeshinda siku zote bila wizi wa kura kuna mtu angelalamika.
Umeona anachakazwa ama ni stress zako za kuto kula......msosiUsishangae ngoma ikapigwa tiktaka,ndio watujua hawajui.
Kumbuka Lungu alikuwa Swahiba na mtu fulani ambaye hivi sasa anachakazwa na moto wa jehanamu kwa ufedhuri aliowafanyia watu.
Jifunze kuandika vizuri......uelewekeMpaka mda huu 1800.central African time...62constituences HH lead Lungu Edgar Chagwa by 484000. Votes!!
Pole sana sukuma gang.Umeona anachakazwa ama ni stress zako za kuto kula......msosi