BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,499
Tume ya kule iko huru sana, laiti tungukuwa na Robo ya tume huru kama zambiaZambia huwa hawakopeshi but kuongoza sio kutangazwa mshindi.
Tume ya kule iko huru sana, laiti tungukuwa na Robo ya tume huru kama zambiaZambia huwa hawakopeshi but kuongoza sio kutangazwa mshindi.
Na democrasia hawaiiti chokochoko.Zambia wana Democrasia sana, pamoja na Jirani zao Malawi, Hizo nchi mbili zina Democrasia ya ukweli
Zaidi ya majimbo 6.wapinzani waongoza na huenda wakachukua serikali. Jana vijana waligoma kuondoka vituo vya kupigia kura na walilinda kura zao kwa Umahiri wa hali ya juu.Baadhi ya watu waliopata kupenyeza kura feki walipata vipigo na wengine walipoteza maisha vyombo vya usalama vilitimiza wajibu wao kikamilifu..
Mamluki angepitishwaje kugombea urais unadhani kugombea urais ni Kama unagombea umonita wa darasa.Issue ni mpinzani kushinda ndo inawafariji.....
Hata akiwa mamluki haijalishi siyo.....
Mamluki ndio niniIssue ni mpinzani kushinda ndo inawafariji.....
Hata akiwa mamluki haijalishi siyo.....
zambia wanademokrasia ya kweli lakini kutokuwa wanafiki au upendeleo kwa wale walio na dhamana ya kuwaongoza raia kama wa mkuu wa tume, wakuu wa vyombo vya usalama kimewasaidia sana. wao wanakuwa mtu kati ,wanakuwa unbias wanapotekeleza majukumu yao ;ndio kitu kimefanya demokrasia yaokuwa tofauti na nchi nyingine kiafrica ambapo hawaangalii katiba inasema nini bali bali bosi anataka nini na hata ikiwezekana kutengenazingira ya kumkomoa mtu .Mamluki ndio nini
Mungu ibariki ZambiaZaidi ya majimbo 6.wapinzani waongoza na huenda wakachukua serikali. Jana vijana waligoma kuondoka vituo vya kupigia kura na walilinda kura zao kwa Umahiri wa hali ya juu.Baadhi ya watu waliopata kupenyeza kura feki walipata vipigo na wengine walipoteza maisha vyombo vya usalama vilitimiza wajibu wao kikamilifu..
usilete umasikini wa ccm hukuAtakuwa w chadema huyo
Chadema ni matajiro sana eti?usilete umasikini wa ccm huku
Ila kwenu mmeshindwaje kutoa support? Unaachaje nyumba yako inaungua unaenda kuzima kwa jirani?Sisi wa Tunduma border hapa tunasubiri tu matokeo maana hawa ni ndugu kabisa wakizingua kutangaza wapinzani nasisi tunaenda kutoa support maana wale na sisi ni kabila 1
Nikupokezana kijiti tu naye akae tena pembeniCha kushangaza huyo Lungu alikua mpinzani kaingia nayeye akawa fisimaji